Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Muishi milele wanafj
Kumekuwa na mtazamo kuwa mwanaume akifanya sana ngono hupata madhara kama kupungua kwa siku zake zakuishi n.k hii ni kwakuwa kwenye sex me ni mtoaji (loser). Huku wengine wakisema sex ni muhimu kwakuwa ina faida nyingi kiafya.
Karibu tubadilishane uzoefu kuhusu suala hili, Je, "too much sex" ni ipi na kikawaida ili iwe kawaida/kiafya ifanyike mara ngapi kwa siku/wiki.
Na je, nikizungumzia kwa waliooana kufanyaa mapenzi kila siku kunaweza mpatia madhara hasi mwanaume?
Karibu.
Kumekuwa na mtazamo kuwa mwanaume akifanya sana ngono hupata madhara kama kupungua kwa siku zake zakuishi n.k hii ni kwakuwa kwenye sex me ni mtoaji (loser). Huku wengine wakisema sex ni muhimu kwakuwa ina faida nyingi kiafya.
Karibu tubadilishane uzoefu kuhusu suala hili, Je, "too much sex" ni ipi na kikawaida ili iwe kawaida/kiafya ifanyike mara ngapi kwa siku/wiki.
Na je, nikizungumzia kwa waliooana kufanyaa mapenzi kila siku kunaweza mpatia madhara hasi mwanaume?
Karibu.