mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Sasa kwanini unaendelea na unaona hutoboi, au ulikua na jini mahaba[emoji23]Mkuu nili overdose aseee nilikuwa nafeel terrible [emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tamaa tu nilikuwa nimekaa boarding school sana aseee nimekoma kabisaSasa kwanini unaendelea na unaona hutoboi, au ulikua na jini mahaba[emoji23]
Mi sinywi gambe wale sivuti fegi ila starehe yangu kubwa ni kucheki game,starehe zipo kibao sio kusex hovyo kama kuku ni hatari sanaUnakuta hanywi pombe, havuti sigara wala bangi....starehe yake itakua nini sasa[emoji23]
TudibeKuna kitu kinaitwa Energy Overdraft. Kimeuwa wanaume wengi Sana
Sawa mkuuHakuna hata we fanya tu uwezavyo, lakini hakikisha hutumii mkongo wala dawa za kisimamishia misuli.
kula tu chakula cha asili
Shea nasisi hizo hatari mkuuMi sinywi gambe wale sivuti fegi ila starehe yangu kubwa ni kucheki game,starehe zipo kibao sio kusex hovyo kama kuku ni hatari sana
Kufanya ngono sana kupo vp ?hebu fafanueni maana mimi najiona kama vile nafanya sanaMuishi milele wanafj
Kumekuwa na mtazamo kuwa mwanaume akifanya sana ngono hupata madhara kama kupungua kwa siku zake zakuishi n.k hii ni kwakuwa kwenye sex me ni mtoaji (loser)
Huku wengine wakisema sex ni muhimu kwakuwa inafaida nyingi kiafya
Karibu tubadilishane uzoefu kuhusu suala hili, Je "too much sex" ni ipi na kikawaida ili iwe kawaida/kiafya ifanyike mara ngapi kwa siku/wiki
Na je, nikizungumzia kwa waliooana kufanyaa mapenzi kila siku kunaweza mpatia madhara hasi mwanaume?
Karibu
Mimi huyu sina starehe nyingine kabisaUnakuta hanywi pombe, havuti sigara wala bangi....starehe yake itakua nini sasa[emoji23]
Wengi wanaume kuishia kumwaga vimajimaji tu visivyo na nguvu za uzaziKuna kitu kinaitwa Energy Overdraft. Kimeuwa wanaume wengi Sana