Je, kufanya mapenzi (sex) mara kwa mara kunachangia kupungua kwa nguvu za kiume?

yuda75

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
520
Reaction score
1,385
Habarini wadau kama heading inavyosema. Kuna ukweli wowote kate ya sex ya mara kwa mara na upungufu wa nguvu za kiume?

Mfano kwa wiki mara 4 na bao tatu tatu.
 
Siku 72?
 
hzo shahwa milioni moja zinakaaje kwenye pumbu ya mwenye kishipa? 🥴
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…