Eliezar Mlwafu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 449
- 140
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kuanzia kunywa maji mengi ya kutosha. Mengine ya ziada Riwa na wenzake watakujibu!
ndio ni tatizo la kutokunywa maji ya kutosha.
hakikisha mkojo wako wa mwisho kabla ya kulala unakuwa colorless ndicho kipimo rahisi cha kunywa maji ya kutosha kwa siku.
he, unasema? nimepata kizunguzungu!Kukojoa mkojo wa njano,ni ishara kuwa mwili hauna maji ya kutosha na unahtaj maji...this happens when hormone Anti-diuretic(Vasopresin) produced by posterior pituitary gland to be send to the kidney via blood stream in response to water shortage,there cause water retention, back to the body,hence urine be concentrated..isingetokea ivo yale maji yalikuw yanatolewa na other substance as urine.
kwahiyo dawa Ni maji !ni sawa yote waliyosema wakuu hapo ni maji tu na ukinywa kwa wing utaona utakuwa mweupe zaidi kama utapata na juice ya miwa ndo vzur maana ile inasafisha mkojo kwa haraka na maji ya madafu na mkojo wa njano unakuwa na harufu pia,,,,,,na unauwezekano wa kuwa na UTI