malamsha shao JF-Expert Member Joined Sep 23, 2012 Posts 215 Reaction score 79 Mar 15, 2015 #1 Je, Kuku wa kienyeji anaweza kutamia Mayai 30 na kuangua yote?
bigjigah Member Joined Jan 28, 2014 Posts 11 Reaction score 0 Mar 16, 2015 #2 No anayeweza hivyo bata mzinga
malamsha shao JF-Expert Member Joined Sep 23, 2012 Posts 215 Reaction score 79 Mar 16, 2015 Thread starter #3 huyo bata anawekewa Mayai ya kuku
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,403 Reaction score 12,775 Mar 16, 2015 #4 Maswali mengine bhana! Unaamini jukwaani hapa kuna kuku mwenye ID?
malamsha shao JF-Expert Member Joined Sep 23, 2012 Posts 215 Reaction score 79 Mar 17, 2015 Thread starter #5 kuku wa kienyeji wapo wa aina mbalimbali
H HUBATUS Member Joined May 5, 2013 Posts 18 Reaction score 4 Mar 17, 2015 #6 No haiwezekani na hii ni kutokana na umbo la kuku mwenyewe lilivyo. Kwa mfano mayai therathin ukimpatia kuku ayaatamie utaona ameweza kufunika baadhi takriban 10-15 na mengine yote kubakia nje.
No haiwezekani na hii ni kutokana na umbo la kuku mwenyewe lilivyo. Kwa mfano mayai therathin ukimpatia kuku ayaatamie utaona ameweza kufunika baadhi takriban 10-15 na mengine yote kubakia nje.