Upo mwingine pia wa kizalendo, sikumbuki 'title' yake.Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Boss Dunia hii nothing new you come with. The world tells us ''don't re-invent the wheel''. Mambo unayoona ni domesticated. Tume-dosticate ya watu na wao wamedomeaticate ya kwetu. Hivyo.Huenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Una uhakika gani kuwa sio South Africa waliochukua na kuiga Tanzania?
Naunga mkono hoja.Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Angalia historia na mtunzi ni nani?Tanganyika ilikuwepo before south,South wamepata uhuru miaka ya 90 ni vigumu tuwaige unless huu wimbo ulitungwa zamani na wa south
Hawana vitambi,ulaji mzuri enzi hizo
Hata huu mzuri sana na unatufaaaTanzania, TANZANIA NAKUPENDA kwa moyo wote
Tazama ramani unaijua!?..sijui kwa nini waliutoa,uko fresh Sana japo mrefuAngalia historia na mtunzi ni nani?
Ulianza kutumika South Africa na mtunzi ni msouth Africa!!
Tanzania tuwe na wimbo wetu unique na siyo kuwa na wimbo ukiimbwa hujui hata nani anatambulishwa, tuache uvivu!
Hotep HotepNaunga mkono hoja.
Hotep🙏Hotep Hotep
Tazama Ramani ni WA kutoka ChinaHuenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Hata mimi nilitaka nimuulize ili swaliUna uhakika gani kuwa sio South Africa waliochukua na kuiga Tanzania?
Mwamba sharubu zake zaidi ya za nyau.
Uwezi ukawa mwanzilishi wa kila kitu, kama ni hivyo basi tusingekuwa na Rais sababu tumeiga tungeendelea na uongozi wa kimila pia tusingekuwa na Bunge, tusingekuwa na Majeshi tungeendelea na yale ya jadi nk.Huenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Ulikuwa wimbo wa shule SA kabla haujatumiwa na Wana harakati za ukombozi Kisha kama nyimbo ya mataifa kadhaa Afrika.Hata mimi nilitaka nimuulize ili swali