Je, kulikuwa na ulazima gani Tanzania kuchukua wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wimbo wa Taifa? Kwanini tusingetunga wa kwetu?

Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Upo mwingine pia wa kizalendo, sikumbuki 'title' yake.

AHAAAA: Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote---

Watunzi wa nyimbo hizi wanastahili tuzo na heshima ndani ya nchi yetu.

Anayejuwa watunzi na historia ya nyimbo hizi, tafadhali simulia.
 
Boss Dunia hii nothing new you come with. The world tells us ''don't re-invent the wheel''. Mambo unayoona ni domesticated. Tume-dosticate ya watu na wao wamedomeaticate ya kwetu. Hivyo.
 
Tanganyika ilikuwepo before south,South wamepata uhuru miaka ya 90 ni vigumu tuwaige unless huu wimbo ulitungwa zamani na wa south
Angalia historia na mtunzi ni nani?

Ulianza kutumika South Africa na mtunzi ni msouth Africa!!

Tanzania tuwe na wimbo wetu unique na siyo kuwa na wimbo ukiimbwa hujui hata nani anatambulishwa, tuache uvivu!
 
Tazama Ramani ni WA kutoka China
 
Uwezi ukawa mwanzilishi wa kila kitu, kama ni hivyo basi tusingekuwa na Rais sababu tumeiga tungeendelea na uongozi wa kimila pia tusingekuwa na Bunge, tusingekuwa na Majeshi tungeendelea na yale ya jadi nk.
 
Hata mimi nilitaka nimuulize ili swali
Ulikuwa wimbo wa shule SA kabla haujatumiwa na Wana harakati za ukombozi Kisha kama nyimbo ya mataifa kadhaa Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…