Muda ni mwalim mzuri sana wa tatizo lakoJe kumuacha mtu umpendae ni kitu rahisi? Na je kama ni rahisi ninjia gani hutumika kuondoa maumivu ya moyo?
Kama umeshawahi kupitia maumivu naomba uniambie ulivukaje (kiufupi kuna kiumbe anautesa moyo wangu) halafu kila nikipiga hesubu naona kama ananileta mapicha picha nazidi kuumia.
Sasa nataka nimuache na nimsahau Kabisa ila kila nikijaribu moyo unazidi kuuma.
Maumivu yako yaliishaje nipe mbinuKumuacha mtu unayempenda maumivu yake hayaelezeki,hata kama una mademu miamoja.
Ukiona mpenzi wako mnaachana na haufeel chochote unaona ni kawaida ,hujapenda bado.
Niliwahi kupenda kiasi cha kuhurumiwa na majirani,huku wakiniambia mbona sina kasoro yeyote naliaje kisa mwanamke?
Kutokana na kaushawishi nilikonako pale mtaani wakina mama wakaingia chaka na kuibuka na pisi kali,
Elewa neno pisikali,
Wanaume wenzangu mwanamke anajua kuchagua mwanamke mwenzie ni shida.
Mtoto huyu walitaka aje kureplace nafasi ya mke wangu kipenzi na demu alikuwa tayari,binti msomi mwenye umbo zuri na sura ya kikaskazini lakini wapiiiiiiii.aliniongezea machungu tu licha ya kukutana naye kimwili lakini akili iko kwa......
Wapo majirani walikuwa tayari kunipa hata bure lakini wapiiiiii
Mapenzi yanauma wakuu
Swadaktaaaaa!!!Hakuna njia ya mkato. Kufa hutakufa ila kwa hakika cha moto utakiona!
[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Jipe muda. Hizo nati zinazokaza kwenye moyo zitaanza kuachia. Muda si muda maumivu yatapungua, utapata ahueni na hatimaye utaanza kumuona wa kawaida tu; na hata kuanza kujishangaa why it took you so long!
Muda ndiyo tiba sahihi ya yote!
Wacha weYESU KRISTO PEKEE NDIO HUGANGA MIOYO ILIYOPONDEKA OKOKA NA UMPOKEE LEO ATAKUPA NA MWENZI SAHIHI
Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kumrudisha kipenzi cha moyo wangu kwa gharama,{siyo pesa) japo pesa ilihusikaMaumivu yako yaliishaje nipe mbinu
Mimi nimekuelewakuna tofauti kumuacha mtu umpendaye na kuachana na mtu mnayependana.
Nazungumzia kuachana na mtu nimpendae maana Mimi najua moyo wangu unampenda sana ila yeye moyowake siwezi kuuzungumzia kwasababu mtu anaweza aka kuaminisha kwamba anakupenda lakini moyoni mwake hakupendikuna tofauti kumuacha mtu umpendaye na kuachana na mtu mnayependana.
Nawezaje kuugawa upendo? Nipe mbinu za kumpenda mtu kiasiPole sana mkuu, punguza kupenda mtu deeply, kuna muda unaweza kuangalia zile picha mlizopiga pamoja na kujiuliza hiv ni huyu kweli anaeniletea mapicha au unakua huamini, akina komasava sio wajingaa.
😂Hii imenikumbusha nilivyompenda Sekela siku nikatikisa kiberiti eti tuachane mwenzangu akaniacha kweli akaniblock kila sehemu nilikuwa naamka usiku wa manane naenda kwenye uwanja wa wazi naita kwa sauti Sekela ,Sekela huku nalia .
Hapo ni baada ya kushauriwa na gujamaa gumoja gulijiita mwanasaikolojia lakini njia yake haikufua dafu nikawa nasikiliza nyimbo za kuumiza Ila sikumsahau na bahati mbaya akakwea pipa kwenda huko ,kiukweli alinitesa sana yule dada ,nikawa namtishia dada yangu nitajiua asipomtafuta Sekela amlete kuniona 😭😭
Tulikuja kuonana baada ya miaka minne amebadilika kawa Kama mmama alafu mda huo nishajua kwenda bar nikawa namuona Kama kituko kila akijivuta napiga alafu no simu ya salamu Wala kumjulia hali mwisho akajitoa mwenyewe .
mi nipo huru nshatoka huko kifungoni
Usiniambie kpnz? Ulikuwa lupangomi nipo huru nshatoka huko kifungoni
kabisa,,ila nmeajiachilia kwa msamaha wangu mi mwenyeweUsiniambie kpnz? Ulikuwa lupango
Msamaha wako mwenyewe kivip?kabisa,,ila nmeajiachilia kwa msamaha wangu mi mwenyewe
uyo jamaa inabid ajisamehe tu ,,aondoke na upendo wake,,nipo mbon nilikoment juu kabsaMsamaha wako mwenyewe kivip?
Ujue kwel sikukuona lkn sikujua kama lupango,yan hapa nilisikia harufu ya perfume yako nikajua mchuchu wangu yuko hapa ndo nikakuita