Je, kumuacha mtu umpendaye ni rahisi?

Muda ni mwalim mzuri sana wa tatizo lako
 
Maumivu yako yaliishaje nipe mbinu
 
Swadaktaaaaa!!!
 
Pole sana mkuu, punguza kupenda mtu deeply, kuna muda unaweza kuangalia zile picha mlizopiga pamoja na kujiuliza hiv ni huyu kweli anaeniletea mapicha au unakua huamini, akina komasava sio wajingaa.
 
Hii imenikumbusha nilivyompenda Sekela siku nikatikisa kiberiti eti tuachane mwenzangu akaniacha kweli akaniblock kila sehemu nilikuwa naamka usiku wa manane naenda kwenye uwanja wa wazi naita kwa sauti Sekela ,Sekela huku nalia .

Hapo ni baada ya kushauriwa na gujamaa gumoja gulijiita mwanasaikolojia lakini njia yake haikufua dafu nikawa nasikiliza nyimbo za kuumiza Ila sikumsahau na bahati mbaya akakwea pipa kwenda huko ,kiukweli alinitesa sana yule dada ,nikawa namtishia dada yangu nitajiua asipomtafuta Sekela amlete kuniona 😭😭

Tulikuja kuonana baada ya miaka minne amebadilika kawa Kama mmama alafu mda huo nishajua kwenda bar nikawa namuona Kama kituko kila akijivuta napiga alafu no simu ya salamu Wala kumjulia hali mwisho akajitoa mwenyewe .
 
kuna tofauti kumuacha mtu umpendaye na kuachana na mtu mnayependana.
Nazungumzia kuachana na mtu nimpendae maana Mimi najua moyo wangu unampenda sana ila yeye moyowake siwezi kuuzungumzia kwasababu mtu anaweza aka kuaminisha kwamba anakupenda lakini moyoni mwake hakupendi
 
Pole sana mkuu, punguza kupenda mtu deeply, kuna muda unaweza kuangalia zile picha mlizopiga pamoja na kujiuliza hiv ni huyu kweli anaeniletea mapicha au unakua huamini, akina komasava sio wajingaa.
Nawezaje kuugawa upendo? Nipe mbinu za kumpenda mtu kiasi
 
😂
 
kabisa,,ila nmeajiachilia kwa msamaha wangu mi mwenyewe
Msamaha wako mwenyewe kivip?

Ujue kwel sikukuona lkn sikujua kama lupango,yan hapa nilisikia harufu ya perfume yako nikajua mchuchu wangu yuko hapa ndo nikakuita
 
Msamaha wako mwenyewe kivip?

Ujue kwel sikukuona lkn sikujua kama lupango,yan hapa nilisikia harufu ya perfume yako nikajua mchuchu wangu yuko hapa ndo nikakuita
uyo jamaa inabid ajisamehe tu ,,aondoke na upendo wake,,nipo mbon nilikoment juu kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…