Je, kumuacha mtu umpendae ni kitu rahisi? Na je kama ni rahisi ninjia gani hutumika kuondoa maumivu ya moyo?
Kama umeshawahi kupitia maumivu naomba uniambie ulivukaje (kiufupi kuna kiumbe anautesa moyo wangu) halafu kila nikipiga hesubu naona kama ananileta mapicha picha nazidi kuumia.
Sasa nataka nimuache na nimsahau Kabisa ila kila nikijaribu moyo unazidi kuuma.
Kama umeshawahi kupitia maumivu naomba uniambie ulivukaje (kiufupi kuna kiumbe anautesa moyo wangu) halafu kila nikipiga hesubu naona kama ananileta mapicha picha nazidi kuumia.
Sasa nataka nimuache na nimsahau Kabisa ila kila nikijaribu moyo unazidi kuuma.