Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Ujue bado sikuelewi kpnz,ukimaanisha kuna mtu alikureport auuyo jamaa inabid ajisamehe tu ,,aondoke na upendo wake,,nipo mbon nilikoment juu kabsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue bado sikuelewi kpnz,ukimaanisha kuna mtu alikureport auuyo jamaa inabid ajisamehe tu ,,aondoke na upendo wake,,nipo mbon nilikoment juu kabsa
Naongelea mada,,m sjawah ripotiwa wala kupgwa banUjue bado sikuelewi kpnz,ukimaanisha kuna mtu alikureport au
Lita nane za maji kwa siku ni sumu unakufa tunakuzikaMkuu kunywa lita 8 za maji kila siku ndani ya wiki moja
Usipomsahau niite bundi mkata umeme
Shida ilianzia hapa,ndio maana msingi wa comment nikataka kujua kama ulikuwa lupango,kumbe nawe umebadilisha gia angani,unakwama wapi kpnz?kabisa,,ila nmeajiachilia kwa msamaha wangu mi mwenyewe
Nakazia,ni muda tuOnly time can heal broken hearts
Wewe ndo hujaelewa,,lupango ni gereza la kupenda mtu then nkachomoka,,hio ndo maana yangu🤣🤣🤣we nawe umevurugwaShida ilianzia hapa,ndio maana msingi wa comment nikataka kujua kama ulikuwa lupango,kumbe nawe umebadilisha gia angani,unakwama wapi kpnz?
😃😃 Ahsante Kaka haikuwa rahisi kumsahau Ila nilijitahidi mpaka siku namuona nokabaki kushangaa yaani hiki kituko ndiyo kilifanya niishi kwa shida vile ?Mkuu pole sana, ingekuwa ndio mimi nimeachwa na huyo nisingemsahau maana huku daslam kuna msosi pendwa unaitwa hilo jina, kila mara ingenilazimu kulitamka kwa uchungu
Kwahiyo nami nitoke ktk lupango la kukupenda wewe? Au tunafanyejeWewe ndo hujaelewa,,lupango ni gereza la kupenda mtu then nkachomoka,,hio ndo maana yangu🤣🤣🤣we nawe umevurugwa
Hahahaha,,ngoj kwanza tumshauri mtoa mada mimi nawewe tutajadiliKwahiyo nami nitoke ktk lupango la kukupenda wewe? Au tunafanyeje
Mchukulie kama vile ni mama Yako mzazi utamuacha tuu!Je kumuacha mtu umpendae ni kitu rahisi? Na je kama ni rahisi ninjia gani hutumika kuondoa maumivu ya moyo?
Kama umeshawahi kupitia maumivu naomba uniambie ulivukaje (kiufupi kuna kiumbe anautesa moyo wangu) halafu kila nikipiga hesubu naona kama ananileta mapicha picha nazidi kuumia.
Sasa nataka nimuache na nimsahau Kabisa ila kila nikijaribu moyo unazidi kuuma.
Pole Sana ndugu, ila utavuka tuJe, kumuacha mtu umpendae ni kitu rahisi? Na je kama ni rahisi ninjia gani hutumika kuondoa maumivu ya moyo?
Kama umeshawahi kupitia maumivu naomba uniambie ulivukaje (kiufupi kuna kiumbe anautesa moyo wangu) halafu kila nikipiga hesubu naona kama ananileta mapicha picha nazidi kuumia.
Sasa nataka nimuache na nimsahau Kabisa ila kila nikijaribu moyo unazidi kuuma.
Pole mkuu fanya hivi anza zoezi kabla huja muacha. Kila akikukwaza kunywa maji funda 3 tu.Je, kumuacha mtu umpendae ni kitu rahisi? Na je kama ni rahisi ninjia gani hutumika kuondoa maumivu ya moyo?
Kama umeshawahi kupitia maumivu naomba uniambie ulivukaje (kiufupi kuna kiumbe anautesa moyo wangu) halafu kila nikipiga hesubu naona kama ananileta mapicha picha nazidi kuumia.
Sasa nataka nimuache na nimsahau Kabisa ila kila nikijaribu moyo unazidi kuuma.