Je, kuna athari yoyote mwanaume asiposhiriki ngono?

Je, kuna athari yoyote mwanaume asiposhiriki ngono?

Mi nilijaribu nikashindwa.. Ndoto za ajabuajabu zikawa zinaniandama.. Jitahidi mkuu.

Till you get married..

Mwenzio ilinibidi nikamwone mchungaji akaniambia katika ndoa ndoa alizofungisha Alimpata mwanaume mmoja tu ambae hajawahi..

Kiukweli nilichukua uamuzi niloona ni sahihi kwangu..
 
..Mkuu una tatizo haiwezekani ujitambue ukiwa 14 alaf usifanye ngono onwards
 
Utakua unafanya kale kamchezo kengine al maarufu km nyeto sibure
 
Mi nilijaribu nikashindwa.. Ndoto za ajabuajabu zikawa zinaniandama.. Jitahidi mkuu.

Till you get married..

Mwenzio ilinibidi nikamwone mchungaji akaniambia katika ndoa ndoa alizofungisha Alimpata mwanaume mmoja tu ambae hajawahi..

Kiukweli nilichukua uamuzi niloona ni sahihi kwangu..
Great!
 
Hamna Tatizo Mkuu... Hongera Sana Kwa Ustahamilivu.... Yaani Kwa Ustahamilivu Huo Mkuu Kwanini Usiwe Mshabiki Wa Arsenal? ...
 
Sijawahi kushuhudia yeyote akifanya ngono. Wewe waweza kunisaidia kwa faida ya wote, tena kwa majina na sehemu uliyoshuhudia? Usiandike kuwa umewahi kusikia, toa ushahidi wako!
Sasa kama hujawahi kushuhudia kwa nini uconclude kuwa watawa hawafanyi ngono?
 
Back
Top Bottom