kwa hio wewe ni bikra au sio hongera,Sina tatizo.. niko fit!
Great!Mi nilijaribu nikashindwa.. Ndoto za ajabuajabu zikawa zinaniandama.. Jitahidi mkuu.
Till you get married..
Mwenzio ilinibidi nikamwone mchungaji akaniambia katika ndoa ndoa alizofungisha Alimpata mwanaume mmoja tu ambae hajawahi..
Kiukweli nilichukua uamuzi niloona ni sahihi kwangu..
Kama kupasha hata kuisimamisha dushe nako kalipasha tuuUmejuaje kama upo fit?...[emoji1] [emoji1] hata gari huwezi paki kwa miaka 12 ukalikuta zima
..... pasha pasha dogo.
Sasa kama hujawahi kushuhudia kwa nini uconclude kuwa watawa hawafanyi ngono?Sijawahi kushuhudia yeyote akifanya ngono. Wewe waweza kunisaidia kwa faida ya wote, tena kwa majina na sehemu uliyoshuhudia? Usiandike kuwa umewahi kusikia, toa ushahidi wako!