Je! kuna Bifu kati ya staff wa tanesco na dawasa?

Je! kuna Bifu kati ya staff wa tanesco na dawasa?

leo nimeshuhudia sijui ni bifu au tuseme ni kituko gari ya tanesco yenye wafanyakazi ilipokutana na ya dawasa kwenye foleni Mwenge basi yakaanza matani dawasa wanaitwa chura nao wanawaita wa tanesco popo yakaanza matusi sasa 🤣🤣🤣
Wanatafuta sababu ya kutukatia umeme na maji, tutakao umia ni sisi.
 
Hao ni watani wa Jadi kwenye hizo mambo waaacheni tu. Mimi ni timu Churapopo
 
Wote wangese,kama upo vzur kipesa dawa ni kununua kasolar kakuwashaa TV na Taa na kuchimba kisima
 
Yaani watu muhimu wako barabarani wanaitana popo na chura...

Lakini wabongo wanawajua hawa watu, Hawachelewi kugeuza vita yao iwe ngumu kwetu....

Mara paap!! Tanesco wamekata umeme dawasa...😜😜🤣🤣

Wakianza bifu hao watu tumekwisha 😂
 
Yaani watu muhimu wako barabarani wanaitana popo na chura...

Lakini wabongo wanawajua hawa watu, Hawachelewi kugeuza vita yao iwe ngumu kwetu....

Mara paap!! Tanesco wamekata umeme dawasa...😜😜🤣🤣
wameshawahi fanya hivyo tena mwaka huu huu sababu ya bill na dawasa wakaenda kata maji tanesco sababu ya bili 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom