Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Wanatafuta sababu ya kutukatia umeme na maji, tutakao umia ni sisi.leo nimeshuhudia sijui ni bifu au tuseme ni kituko gari ya tanesco yenye wafanyakazi ilipokutana na ya dawasa kwenye foleni Mwenge basi yakaanza matani dawasa wanaitwa chura nao wanawaita wa tanesco popo yakaanza matusi sasa π€£π€£π€£
ππππWanatafuta sababu ya kutukatia umeme na maji, tutakao umia ni sisi.
Kweli mkuuWanatafuta sababu ya kutukatia umeme na maji, tutakao umia ni sisi.
Stress bongo ni kujitakia...Imagine wakaamua kukomeshana kila mtu akakate upande wake π
ππ kwanini mkuuStress bongo ni kujitakia...
Yaani watu muhimu wako barabarani wanaitana popo na chura...ππ kwanini mkuu
Yaani watu muhimu wako barabarani wanaitana popo na chura...
Lakini wabongo wanawajua hawa watu, Hawachelewi kugeuza vita yao iwe ngumu kwetu....
Mara paap!! Tanesco wamekata umeme dawasa...πππ€£π€£
π€£π€£π€£π€£Wanatafuta sababu ya kutukatia umeme na maji, tutakao umia ni sisi.
bora churaKwahiyo we upande wako ni upi, kati ya chura na popo.
wameshawahi fanya hivyo tena mwaka huu huu sababu ya bill na dawasa wakaenda kata maji tanesco sababu ya bili π€£π€£π€£Yaani watu muhimu wako barabarani wanaitana popo na chura...
Lakini wabongo wanawajua hawa watu, Hawachelewi kugeuza vita yao iwe ngumu kwetu....
Mara paap!! Tanesco wamekata umeme dawasa...πππ€£π€£