Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Binafsi kuna wadudu au wanyama ambao siwapendi na siwezi hata wagusa hata ukinambia wamekufa.
Nimewaza chukulia mfano unatakiwa kuishi kwenye sehemu ambayo ni makazi ya kudumu ya viumbe hawa:
1. Nyoka
2. Tandu
3. Nge
Can you sleep in that area? Mi nakumbuka miaka fulani nlikuwa chuo nikawa nimepanga nyumba flani mtaani, ile nyumba ilikuwa na shida kuu mbili.
1. Tandu
2. Nge
Hawa walikuwa ni kama wamefugwa around the house. Nlikuwa nafululiza kuwaona karibia week tatu, funga kazi siku hiyo nmetoka chuo nmevua viatu nataka nivae sandals namwona kijana/ binti wa nyoka kakaa chini ya sandals na carpet.
Nikajua tu hapo wazazi wake watakuwa around. Na wasije wakawa wananiangalia wakaona nambughudhi mtoto wao. Nilitoka taratibu sikurudi tena, kesho yake nilituma watu waniondolee vitu vyangu nikarudi tu home. Kile chumba nilirudisha baada ya miezi sita kwisha ila nilikaa muda usiozidi mwezi mmoja.
Ilikuwa "Inshu" (issue) mara unamwona N'ge unamuua mara unakuja muona tandu, basi ukiua kesho tena au kesho kutwa ukinyanyua ndoo unamwona mwingine ame-chill chini ya ndoo. Ukisogeza kabati unamkuta tandu yaani ilikuwa shida, unalala kwa mashaka sana hata shuka likikugusa unatuka haraka kuwahi kuwasha taa. Hapo unatoka na net yote ukifika kule ukutani unaitoa net kwanza mwilini then unakagua kitanda kwa kitumia fimbo ya mfagio.
Ukiona shwari basi unafanya utaratibu wa kufunga net ili ulale upya. Hapo utakesha kutafuta usingizi. Nikaona shida yote ya nini, nikarudi home.
Nyoka nawachukia, nyoka nawachukia kinyama. Hadithi za ana sumu au hana I don't care. Nyoka siwapendi; tandu na ng'e I hate them too. Kama yupo ndani any of them na sijafanikiwa kumuua sitolala humo ndani.
Nimewaza chukulia mfano unatakiwa kuishi kwenye sehemu ambayo ni makazi ya kudumu ya viumbe hawa:
1. Nyoka
2. Tandu
3. Nge
Can you sleep in that area? Mi nakumbuka miaka fulani nlikuwa chuo nikawa nimepanga nyumba flani mtaani, ile nyumba ilikuwa na shida kuu mbili.
1. Tandu
2. Nge
Hawa walikuwa ni kama wamefugwa around the house. Nlikuwa nafululiza kuwaona karibia week tatu, funga kazi siku hiyo nmetoka chuo nmevua viatu nataka nivae sandals namwona kijana/ binti wa nyoka kakaa chini ya sandals na carpet.
Nikajua tu hapo wazazi wake watakuwa around. Na wasije wakawa wananiangalia wakaona nambughudhi mtoto wao. Nilitoka taratibu sikurudi tena, kesho yake nilituma watu waniondolee vitu vyangu nikarudi tu home. Kile chumba nilirudisha baada ya miezi sita kwisha ila nilikaa muda usiozidi mwezi mmoja.
Ilikuwa "Inshu" (issue) mara unamwona N'ge unamuua mara unakuja muona tandu, basi ukiua kesho tena au kesho kutwa ukinyanyua ndoo unamwona mwingine ame-chill chini ya ndoo. Ukisogeza kabati unamkuta tandu yaani ilikuwa shida, unalala kwa mashaka sana hata shuka likikugusa unatuka haraka kuwahi kuwasha taa. Hapo unatoka na net yote ukifika kule ukutani unaitoa net kwanza mwilini then unakagua kitanda kwa kitumia fimbo ya mfagio.
Ukiona shwari basi unafanya utaratibu wa kufunga net ili ulale upya. Hapo utakesha kutafuta usingizi. Nikaona shida yote ya nini, nikarudi home.
Nyoka nawachukia, nyoka nawachukia kinyama. Hadithi za ana sumu au hana I don't care. Nyoka siwapendi; tandu na ng'e I hate them too. Kama yupo ndani any of them na sijafanikiwa kumuua sitolala humo ndani.