Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kwa sasa unatumia broker yupi?yoyote ile
Je kwa sasa unatumia broker yupi?
- Account type ipi kwa huyo broker?
BTW | pata spread ya 0 kwa major na cross pair kwa kutumia EXNESS broker, Ila hakikisha
- Mataji wako ni $500
- Na chagua Pro Account Type | Pia huwa imeandikwa ZERO pro.
Rudia kusoma nilicho andika.Natumia SUPERFOREX kwahiyo bila kuwa na $500 haiwezekani?
Poa,
Hivi sanasana Spread ndo humsaidia scalper kupata faida?
Kuna watu wanaendesha familia bila stress kwa hizi mambo na huwakuti wakiposti posti haya mambo... we piga kimya tu kama ulishapigwa za uso ila usikandie kwa kuwa hukujua unqchofanyaHivi kuna watu bado wanafanya haya matakataka
Mkuu huna $500 unisaidie niwekeze kwenye crypto- Chukua mfano pair GBPNZD ina spread kubwa sana, Ila wadau huwa wana scalp kama kawaida, na wanaipenda hii pair kutokana na volatility yake kuwa kubwa. The same ton USDZAR, USDMXN ni pair zenye spread kubwa na volatity kubwa, hivyo scalping kama kawaida inafanyika.
- Sio kweli?
- Kinacholeta faida kwa trader wa aina yeyote yule ni Timming ya Entry & exit, Pili RR Ratio Bila kujali spread kuwa ni kubwa au ndogo.
- Ninadhani hata maana ya scalping kwako ni tatizo.
- Sababu inaonyesha hata basics za fx hujui, Ni vyema ukaanza kujifunza kwa kina, anzia Babypips, Ila kwa unachofanya sasa unapoteza muda wako na fedha.
Kuna mwenye zero spread kwa acWakuu kuna kuna anayemjua broker ambaye anaSPREAD ndogo chini ya 5 naomba nitajie plz!
Analipia ada mkuu- Chukua mfano pair GBPNZD ina spread kubwa sana, Ila wadau huwa wana scalp kama kawaida, na wanaipenda hii pair kutokana na volatility yake kuwa kubwa. The same to USDZAR, USDMXN ni pair zenye spread kubwa na volatity kubwa, hivyo scalping kama kawaida inafanyika.
- Sio kweli?
- Kinacholeta faida kwa trader wa aina yeyote yule ni Timming ya Entry & exit, Pili RR Ratio Bila kujali spread kuwa ni kubwa au ndogo.
- Ninadhani hata maana ya scalping kwako ni tatizo.
- Sababu inaonyesha hata basics za fx hujui, Ni vyema ukaanza kujifunza kwa kina, anzia Babypips, Ila kwa unachofanya sasa unapoteza muda wako na fedha.
Ni bureAnalipia ada mkuu
https://www.babypips.com/learn/forex
Hujanielewa..namaanisha kuwa kwaswsa anavypoteza ni sawa na kulipia ada ya mafunzo kwa vitendo