GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kikubwa hapa nataka kujua hasa Kitaalamu je, kuna ama Dawa yoyote ile ya Hospitalini au ya Kiutamaduni (Mitishamba) au Mafunzo yoyote yale Mtu anaweza Kutumia au Kuyatumia ili ayatumie na yaweze Kumsaidia asiwe anashikwa na Mkojo mara kwa mara hasa awapo Safarini au akiwa Mkutanoni na kila mara kutaka au kuomba kwenda Kujisaidia Haja Ndogo / Kukojoa?
Na Kiafya au Kibaiolojia nini husababisha Watu wengine Kutoshikwa kabisa na Mkojo (Haja Ndogo) wawapo Safarini au Vikaoni kwa muda mrefu? Hawa Miili yao huwa ina Kitu gani cha ziada kinachowazidi hawa Wengine ambao hukumbwa mara kwa mara na Haja Ndogo (Mkojo) wawapo ama Safarini au Mikutanoni?
Na naomba pia kujua (hasa kutoka kwa Wanajeshi) je, hawa huwa wanatumia nini kwani sijawahi kuona Wanajeshi ama wakiwa katika Magwaride yao au hafla zao za Kijeshi au hata Safarini wakiwa wanaomba kwenda Kukojoa (Kuchimba Dawa) kama Abiria wengine.
Nitashukuru leo nikipata Elimu Kubwa juu ya hilo nililouliza au haya ya Msingi na Muhimu niliyoyauliza nikiwa na uhakika yanaweza pia Kusaidia wengi wenye Kukumbwa sana na Changamoto hii.
Nawasilisha.
Na Kiafya au Kibaiolojia nini husababisha Watu wengine Kutoshikwa kabisa na Mkojo (Haja Ndogo) wawapo Safarini au Vikaoni kwa muda mrefu? Hawa Miili yao huwa ina Kitu gani cha ziada kinachowazidi hawa Wengine ambao hukumbwa mara kwa mara na Haja Ndogo (Mkojo) wawapo ama Safarini au Mikutanoni?
Na naomba pia kujua (hasa kutoka kwa Wanajeshi) je, hawa huwa wanatumia nini kwani sijawahi kuona Wanajeshi ama wakiwa katika Magwaride yao au hafla zao za Kijeshi au hata Safarini wakiwa wanaomba kwenda Kukojoa (Kuchimba Dawa) kama Abiria wengine.
Nitashukuru leo nikipata Elimu Kubwa juu ya hilo nililouliza au haya ya Msingi na Muhimu niliyoyauliza nikiwa na uhakika yanaweza pia Kusaidia wengi wenye Kukumbwa sana na Changamoto hii.
Nawasilisha.