Sikia
GENTAMYCINE
Mwanaume unaweza kuhold maxmum 750mls za mkojo, ukiona unakojoa mkojo hauishi mwingi unabaki ndani hii ndo shida ila kukojoa mara kwa mara inaeza kutokana tu na unywaji wako wa maji, size ya kibofu kua ndogo au misuli iliyotanuka.
Tatizo ni pale utakapogundulika hali yako inasababishwa na maambukizi kwenye kibofu au Uvimbe au Tezi dume inayokisukuma kibofu (kubwa zaidi ya 30mls)
Mimi kwa Taaluma na uzoefu wangu kafanye vipimo vya maabara na Ultrasound unaweza kua diagnosed kua na Cystitis au Prostatomegaly(BPH) utapata tiba mapema na hata kama ukikutwa uko Normal utashauliwa namna gani ya kuhandle hiyo Changamoto yako.
Angalizo: Sijakufanyia Diagnosis nimekupa uzoefu ambao hua nakutana nao kwa watu wenye changamoto kama yako unaweza usiwe mmoja wao.