Je, kuna haja sasa kwa Serikali kuajiri waonaji fursa?

Je, kuna haja sasa kwa Serikali kuajiri waonaji fursa?

Undava King

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
3,422
Reaction score
5,659
Tuna tatizo kubwa la kuziona fursa na kuzitumia si Serikali tu bali na Watu wake pia.

Wananchi wanaitegemea serikali itengeneze fursa hili vijana na watu wote wenye uwezo au sifa za kuajiriwa na kujiajiri waweze kufanya kazi kwa mustakabali wa maisha yao na ustawi wa taifa.

Cha ajabu level ya ufahamu wa mtawala na mtawaliwa ukiulinganisha kwenye mizania vinalandana na hamna kati yao wa kumnasua mwenzie shimoni.

Nadhani imefikia wakati serikali iwe na kitengo cha watu wenye ufahamu wa juu (GT) ambao wataajiriwa na kazi yao kuu itakuwa ni kufikiri nje ya box nakuleta majawabu juu ya namna gani hasa serikali ifanye kutengeneza fursa mbalimbali za ajira kulingana na uchumi wa taifa letu na nguvu kazi yake.

Ili litawezekana endapo jopo hili la think tankers litashirikisha au litashirikiana kwa ukaribu na jopo la wataalamu, magenius, wanasayansi, matajiri, wabunifu/wenye uthubutu(wajasiriamali), wavumbuzi,wenye vipawa, wachumi n.k

Endapo kitengo hiki kikitumika vyema kuchangia mtizamo wao na maoni yao yakawa yanazingatiwa na kutekelezwa siyo ajabu tunaweza kutoka kwenye mkwamo wa ajira kwa watu wetu.

Miaka nenda rudi ajira kwa majority ya watu wetu zimebaki kuwa kuzalisha mazao kwa zana duni na kuuza malighafi bila kuprocess, ufundi katika level ya chini, usafiri i.e bodaboda,utalii usio na ukomavu, uchimbaji mdogo wa madini na biashara inayopotelea nchi za jirani, ufugaji wa mifugo mingi ila tija kidogo,n.k

Kiukweli tunahitaji watu wanaofikiri tofauti na kuona njia nyingi tofauti za kupita wakati ambapo wote tumefumba macho tunaimizana tuchape kazi wakati kazi zenyewe hazipo.

Jambo hili la kukosa watu wenye upeo na mitizamo chanya ya kuona fursa ambazo zinaweza kutumiwa kusaidia nchi ndiyo kikwazo cha serikali zote za nchi masikini especially bara la Afrika,

Unaweza dhani kuwa watawala hawa hawana mapenzi au uzalendo na maendeleo ya mataifa yao kama viongozi wa nchi za magharibi na kwingineko kumbe hapana,

Ni level yao ya ufahamu na kufikiri ndiyo inawa-limit wakomee hapo na mwisho wa siku nikufuata mfumo wa kiuchumi ule ule usio na matunda wakiombea mabadiliko yatokee na kujipa matumaini kuwa kufuatia miradi kadhaa wanayoitekeleza kwa mikopo au uwekezaji uliofanyika utaweza kuajiri idadi kubwa ya watu wao kumbe ni kinyume chake na matokeo ni kuendelea ku-suffer.

Kiufupi hawa watu wa ajabu wanaoweza kuleta mabadiliko katika suala la ajira na uchumi wa nchi hawatoki kwingineko bali miongoni mwetu Watanzania kuna watu wenye akili kubwa na tunachopaswa kufanya ni kuwa-identify na kuwatumia kwani wengine wapo serikalini humo humo, sekta binafsi na wengine ni majobless.
 
Wazo zuri. Tatizo litakuja kwenye kuwapata hao watu wanaofikiri tofauti na kuona njia nyingi tofauti. Kama kawaida watawekana wenyewe Kwa wenyewe Kwa kujuana na kubebana mwisho wa siku hawatapatikana hao watu.
 
Wazo zuri. Tatizo litakuja kwenye kuwapata hao watu wanaofikiri tofauti na kuona njia nyingi tofauti. Kama kawaida watawekana wenyewe Kwa wenyewe Kwa kujuana na kubebana mwisho wa siku hawatapatikana hao watu.
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Tuna tatizo kubwa la kuziona fursa na kuzitumia si Serikali tu bali na Watu wake pia.

Wananchi wanaitegemea serikali itengeneze fursa hili vijana na watu wote wenye uwezo au sifa za kuajiriwa na kujiajiri waweze kufanya kazi kwa mustakabali wa maisha yao na ustawi wa taifa.

Cha ajabu level ya ufahamu wa mtawala na mtawaliwa ukiulinganisha kwenye mizania vinalandana na hamna kati yao wa kumnasua mwenzie shimoni.

Nadhani imefikia wakati serikali iwe na kitengo cha watu wenye ufahamu wa juu (GT) ambao wataajiriwa na kazi yao kuu itakuwa ni kufikiri nje ya box nakuleta majawabu juu ya namna gani hasa serikali ifanye kutengeneza fursa mbalimbali za ajira kulingana na uchumi wa taifa letu na nguvu kazi yake.

Ili litawezekana endapo jopo hili la think tankers litashirikisha au litashirikiana kwa ukaribu na jopo la wataalamu, magenius, wanasayansi, matajiri, wabunifu/wenye uthubutu(wajasiriamali), wavumbuzi,wenye vipawa, wachumi n.k

Endapo kitengo hiki kikitumika vyema kuchangia mtizamo wao na maoni yao yakawa yanazingatiwa na kutekelezwa siyo ajabu tunaweza kutoka kwenye mkwamo wa ajira kwa watu wetu.

Miaka nenda rudi ajira kwa majority ya watu wetu zimebaki kuwa kuzalisha mazao kwa zana duni na kuuza malighafi bila kuprocess, ufundi katika level ya chini, usafiri i.e bodaboda,utalii usio na ukomavu, uchimbaji mdogo wa madini na biashara inayopotelea nchi za jirani, ufugaji wa mifugo mingi ila tija kidogo,n.k

Kiukweli tunahitaji watu wanaofikiri tofauti na kuona njia nyingi tofauti za kupita wakati ambapo wote tumefumba macho tunaimizana tuchape kazi wakati kazi zenyewe hazipo.

Jambo hili la kukosa watu wenye upeo na mitizamo chanya ya kuona fursa ambazo zinaweza kutumiwa kusaidia nchi ndiyo kikwazo cha serikali zote za nchi masikini especially bara la Afrika,

Unaweza dhani kuwa watawala hawa hawana mapenzi au uzalendo na maendeleo ya mataifa yao kama viongozi wa nchi za magharibi na kwingineko kumbe hapana,

Ni level yao ya ufahamu na kufikiri ndiyo inawa-limit wakomee hapo na mwisho wa siku nikufuata mfumo wa kiuchumi ule ule usio na matunda wakiombea mabadiliko yatokee na kujipa matumaini kuwa kufuatia miradi kadhaa wanayoitekeleza kwa mikopo au uwekezaji uliofanyika utaweza kuajiri idadi kubwa ya watu wao kumbe ni kinyume chake na matokeo ni kuendelea ku-suffer.

Kiufupi hawa watu wa ajabu wanaoweza kuleta mabadiliko katika suala la ajira na uchumi wa nchi hawatoki kwingineko bali miongoni mwetu Watanzania kuna watu wenye akili kubwa na tunachopaswa kufanya ni kuwa-identify na kuwatumia kwani wengine wapo serikalini humo humo, sekta binafsi na wengine ni majobless.
Bila connection ni sawa na kuufukuza upepo.

Yakobo mwenyewe alipoona hali si nzuri ilimbidi atoke nnje ya boksi ndipo akapata mafanikio kiuchumi akiwa Mchunga ng'ombe kwa Mjomba wake miaka 14.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Bila connection ni sawa na kuufukuza upepo.

Yakobo mwenyewe alipoona hali si nzuri ilimbidi atoke nnje ya boksi ndipo akapata mafanikio kiuchumi akiwa Mchunga ng'ombe kwa Mjomba wake miaka 14.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Albert Einstein anasema "we can't solve problem by using the same kind of thinking we used when we create them"
FB_IMG_16760271818298331.jpg
 
Serikali pia iangalie njia nzuri ya recruitment Kwa kuangalia pia uzoefu wa kazi na wanaoweza kuja na solution kuliko Sasa hivi interview zao nyingi wanatoa mambo ya ku cremisha darasani huyo eti ndio amefaulu bila kuangalia uzoefu. Pia baadhi ya kazi kwenye vitengo idara na taasisi waige mifumo ya interview za UN huko wanaangaliwa zaidi ma team player na problem solver kuliko huku mkremisha madesa madesa with zero inputs anapata nafasi, pia waangalie motivation why private sector wanaendelea why huko government Wana Kila kitu yet mambo hayaendi
 
Wazo zuri. Tatizo litakuja kwenye kuwapata hao watu wanaofikiri tofauti na kuona njia nyingi tofauti. Kama kawaida watawekana wenyewe Kwa wenyewe Kwa kujuana na kubebana mwisho wa siku hawatapatikana hao watu.
Sema mtihani huko hapa katika mchakato wa kuwapata walengwa, lakini nchi za wenzetu walishatutangulia kwenye hili,

Kikubwa ni juhudi zetu zinahitajika kujifunza kwao wanawezaje kuwapata na kuwatumia watu hao.

Mfano itizame serikali ya Amerika kwa jicho lingine, iliwezaje kubaini kuwa muziki na filamu ikitiliwa maanani na uwekezaji ukafanyika inaweza kuwa muarobaini wa kutibu tatizo sugu la ajira kwa kundi kubwa la vijana wasio na kazi,

na ambao hawajasoma kwa wingi wao ambao ni weusi a.k.a negroes ambao kama wangeachwa waroburobu wangeangukia kwenye kundi kubwa la ma-thug na wauza unga wakishirikiana na vijana jobless wa Mexico.

Itizame India kupitia great thinkers wake walibaini uwezekano wa fursa kupitia population kubwa walio nayo na uhitaji wa matibabu kuwa inaweza kuua ndege wawili kwa wakati mmoja,

Kwanza watatengeneza ajira za kutosha pili watajiingizia pesa za kigeni za kutosha wakaamua kuwekeza kwenye elimu ya afya na miundombinu, leo hii mawaziri na wabunge wetu wanapishana hewani kuwahi matibabu India.

Itizame Korea wakati imekata tamaa na ugumu wa maisha na umasikini umekithiri wakafikiria nje ya box namna ya kujikomboa kupitia kujinyima huku wakitumia mikopo kwa umakini mkubwa na nidhamu ya matumizi ya umma likiwa ni suala lililotiliwa mkazo mno kisheria (tulishuhudia hata miaka ya hivi karibuni raisi wao akiwajibishwa kwa kutumia madaraka yake vibaya) waliweza kujikwamua na kuondoka kwenye kundi la nchi zinazojitafuta.

Mimi naamini kupitia maneno ya Bejamini Franklin kuwa "An investment in knowledge pays the best interest"
 
Serikali pia iangalie njia nzuri ya recruitment Kwa kuangalia pia uzoefu wa kazi na wanaoweza kuja na solution kuliko Sasa hivi interview zao nyingi wanatoa mambo ya ku cremisha darasani huyo eti ndio amefaulu bila kuangalia uzoefu. Pia baadhi ya kazi kwenye vitengo idara na taasisi waige mifumo ya interview za UN huko wanaangaliwa zaidi ma team player na problem solver kuliko huku mkremisha madesa madesa with zero inputs anapata nafasi, pia waangalie motivation why private sector wanaendelea why huko government Wana Kila kitu yet mambo hayaendi

Yaani serikalini ni mkanganyiko acha tu, una miaka minane kitaa tokea umehitimu unafika kwenye written unakutana na maswali ya topic ya kwanza ya course uliosoma mwaka wa kwanza unadhani nani atafahulu interview ya namna hii kama siyo dogo aliyehitimu chuo juzi juzi ambaye bado amekariri madesa.

Interview inatakiwa kutupima upeo wetu kutokana na kile tulichojifunza na namna tutakavyoitumia knowledge hiyo katika eneo letu la kazi kuleta mabadiliko.

Makampuni na mashirika mengi yamefocus kwenye kutafuta wafanyakazi wenye mchango na watakaoleta mabadiliko katika taasisi zao kwa kuwa wanaamini wana muda mfupi,ni biashara hivyo faida ni muhimu lakini pia bila ufanisi hawana future.

Ila serikali yenyewe ina-operate kama vile ni 'ardhi' daima kama asset thamani yake haishuki, inamiliki kila kitu hivyo haifirisiki, kodi kila siku zitaongezeka tu, wafanyakazi hata wasipojituma sana kikubwa mambo yanaenda, serikali haina mwenyewe sasa chakufia nini n.k

Na ndiyo maana hamna uwajibikaji, uvivu na uzembe ni mwingi, ubunifu hakuna, rushwa mbele kama tai, ujinga na mazoea yanaendekezwa kuwa sheria, usimamizi na ufatiliaji duni wa miradi na hakuna udhibiti kwa wafujaji mali za umma n.k
 
Yaani serikalini ni mkanganyiko acha tu, una miaka minane kitaa tokea umehitimu unafika kwenye written unakutana na maswali ya topic ya kwanza ya course uliosoma mwaka wa kwanza unadhani nani atafahulu interview ya namna hii kama siyo dogo aliyehitimu chuo juzi juzi ambaye bado amekariri madesa.

Interview inatakiwa kutupima upeo wetu kutokana na kile tulichojifunza na namna tutakavyoitumia knowledge hiyo katika eneo letu la kazi kuleta mabadiliko.

Makampuni na mashirika mengi yamefocus kwenye kutafuta wafanyakazi wenye mchango na watakaoleta mabadiliko katika taasisi zao kwa kuwa wanaamini wana muda mfupi,ni biashara hivyo faida ni muhimu lakini pia bila ufanisi hawana future.

Ila serikali yenyewe ina-operate kama vile ni 'ardhi' daima kama asset thamani yake haishuki, inamiliki kila kitu hivyo haifirisiki, kodi kila siku zitaongezeka tu, wafanyakazi hata wasipojituma sana kikubwa mambo yanaenda, serikali haina mwenyewe sasa chakufia nini n.k

Na ndiyo maana hamna uwajibikaji, uvivu na uzembe ni mwingi, ubunifu hakuna, rushwa mbele kama tai, ujinga na mazoea yanaendekezwa kuwa sheria, usimamizi na ufatiliaji duni wa miradi na hakuna udhibiti kwa wafujaji mali za umma n.k
Huko serikalini wengi hawajawahi fanya kazi popote so Wana little exposure ya mambo, Sasa unataka kupata wafanyakazi lazima utofautishi kazi za junior na zile watu wazoefu kutoka mataasisi mbalimbali na wanaojua kazi Sasa mtu anauzoefu wa 10 year's baada ya ku graduate unampa mtihani wa darasani na mtu aliyemaliza maybe last year Sasa hapo aliyetoka chuoni si atapata yote huku hajui hata anachoenda kufanya, so wawe wanatofautisha hii mitihani na hili li elimu letu la ku crame plus lack of exposure vilaza watajaa huko na washindwe ku deliver na umaskini ubaki pale Kwa Akili zile zile zilizoleta tatizo.
Pia serikali iondoe mifumo ya too bureaucracy inayobanA ubunifu na kuleta usumbufu na mianya ya rushwa huko makazini mtu akishindwa ku deliver abanwe na watu wawe wabunifu aisee.
 
Back
Top Bottom