Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Kama anampendaMume na mke wana watoto 3, hawana maelewano mazuri kama mwaka hv ilipelekea kulala kilamtu chumba chake,,,
Sasa mwanaume kapata uhamisho kazini anahamia mkoa mwingine bidada ndio anaomba ushauri kuna haja ya kuhama wote??? Au amuache tu jamaa aende yeye abaki na watoto maana pia wamejenga + hawana maelewano mazuri
Mimi mbona siwezi kukaa nyumba mpya bila mke na siwezi kuzini malaya wana pepo chafu, mke ana umuhimu wake katika maisha yake mwanaume....wewe bi-mkubwa kama umemchoka mueke wazi apate mgine fresh, usitimie uhamisho kutimiza malengo yako.Mume na mke wana watoto 3, hawana maelewano mazuri kama mwaka hv ilipelekea kulala kilamtu chumba chake,,,
Sasa mwanaume kapata uhamisho kazini anahamia mkoa mwingine bidada ndio anaomba ushauri kuna haja ya kuhama wote??? Au amuache tu jamaa aende yeye abaki na watoto maana pia wamejenga + hawana maelewano mazuri
Ahamie kwanguMume na mke wana watoto 3, hawana maelewano mazuri kama mwaka hv ilipelekea kulala kilamtu chumba chake,,,
Sasa mwanaume kapata uhamisho kazini anahamia mkoa mwingine bidada ndio anaomba ushauri kuna haja ya kuhama wote??? Au amuache tu jamaa aende yeye abaki na watoto maana pia wamejenga + hawana maelewano mazuri
Mkuu wewe jiseme tu hakuna anae kujua humuMume na mke wana watoto 3, hawana maelewano mazuri kama mwaka hv ilipelekea kulala kilamtu chumba chake,,,
Sasa mwanaume kapata uhamisho kazini anahamia mkoa mwingine bidada ndio anaomba ushauri kuna haja ya kuhama wote??? Au amuache tu jamaa aende yeye abaki na watoto maana pia wamejenga + hawana maelewano mazuri
Hapana sio mimi ..Mkuu wewe jiseme tu hakuna anae kujua humu
Sasa huko wataenda kuishije wkt hawana maelewano?Lazima waambatane! Mke amfuate Mme,nyumba pangisheni.
Kikubwa atunze watoto wake tu... Maana kama hawaelewan miaka 2 sio ajabu kabisa kila mmoja akapata wakeKama ni Mama wa Nyumbani utaisoma Namba, jamaa anaenda kukamata kitoto cha 2000 kimfyatue Akili
Hapo kila mtu ana wake ni muda sasa wa kuinjoy matunda ya kutokuelewana kwao.Kikubwa atunze watoto wake tu... Maana kama hawaelewan miaka 2 sio ajabu kabisa kila mmoja akapata wake