Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
Hii ya Uganda waende hao tuwaone naoMechi nyingine wapelekwe wanajeshi
Watakua bado hawajamaliza kubangua koroshoMechi nyingine wapelekwe wanajeshi
Labda ungeuliza kuna haja ya kuwa na waziri wa Michezo na utamaduni anayelipwa mamilioni kwa kodi za wanyonge wakati ubunifu ni ziro?
Kazi yao ni kukimbizana na watu wanaowakosoa kwenye Sanaa wakati hawana jamba jipya wanalobuni au kuanzieha lenye manufaa na taifa.
Mpeleke mkeo kwanza ili upate mbegu nzuri ya mcheza mpiraMi huwa najiuliza sana, inakuwaje tunakosa watu wanaojua kucheza mpira vizuri kama kwa wenzetu? Timu yetu ya Taifa kufungwa ni kawaida, vilabu vikienda nje, ni kufungwa tu, mbona majirani zetu au nchi za Afrika magharibi zinafanya vizuri, kwann tusiende kujifunza wanavyofanya? Tujue wanakula nn, wanafanya mazoezi gani, wafundishwa nn! Kama kuna kizazi maalum cha mpira, basi tupeleke dada zetu huko wakatiwe mimba waje watuzalie hicho kizazi na huku tupate wachezaji!!
Hatuwezi jambo lolote kwa sababu ya wenzetu na dugu zetu waliogeuka kuwa Wanyonyaji na wakoloni halafu wanasingizia wazungu na nchi za magaharibi kuwa wao ndio wanatukwamisha.Hivi Tz tunaweza nini cha kujivunia Africa ?!
Labda uswahili . Uwezo wetu mdogo sana kwa almost kila kitu.
Unajua soka letu limetawaliwa na siasa.Mi huwa najiuliza sana, inakuwaje tunakosa watu wanaojua kucheza mpira vizuri kama kwa wenzetu? Timu yetu ya Taifa kufungwa ni kawaida, vilabu vikienda nje, ni kufungwa tu, mbona majirani zetu au nchi za Afrika magharibi zinafanya vizuri, kwann tusiende kujifunza wanavyofanya? Tujue wanakula nn, wanafanya mazoezi gani, wafundishwa nn! Kama kuna kizazi maalum cha mpira, basi tupeleke dada zetu huko wakatiwe mimba waje watuzalie hicho kizazi na huku tupate wachezaji!!
Hata wachezaji wa Ulaya wanalewa pombeWalifuta umiseta!wairudishe umiseta wataipua vipaji!
Waje mitaani pia kuna vipaji kibao
Waachane na wakina yondani etc
Kutwa tunakesha nao kwenye kuvesha mitungi
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa wenzetu mpira kazi na ndio maana wanaithamini kazi yao.Mi huwa najiuliza sana, inakuwaje tunakosa watu wanaojua kucheza mpira vizuri kama kwa wenzetu? Timu yetu ya Taifa kufungwa ni kawaida, vilabu vikienda nje, ni kufungwa tu, mbona majirani zetu au nchi za Afrika magharibi zinafanya vizuri, kwann tusiende kujifunza wanavyofanya? Tujue wanakula nn, wanafanya mazoezi gani, wafundishwa nn! Kama kuna kizazi maalum cha mpira, basi tupeleke dada zetu huko wakatiwe mimba waje watuzalie hicho kizazi na huku tupate wachezaji!!
Mkuu unasema tukifundishwa tunafundishika.Hatuwezi jambo lolote kwa sababu ya wenzetu na dugu zetu waliogeuka kuwa Wanyonyaji na wakoloni halafu wanasingizia wazungu na nchi za magaharibi kuwa wao ndio wanatukwamisha.
Leo hii kila kitu ni siasa tu. Mashindano ya michezo kama zamani yamebaki yale makombe ya wanasiasa tu huko vijini ambapo kuna vipaji.
Maeneo yenye vipaji lakini wakigundulika kuwa sio wapiga kura wa CCM basi hata michezo itaonekana ni mikutano ya hadhara na maandamano na atakayefadhili mashindano ataandamwa na wakuu wa wilaya mpaka alie kilio cha mbwa koko.
Vipaji vya soka vinajulikana kuwa vipo Vijijini. Na kuna mikoa soka likifundishwa wanafundishika na kuna mikoa soka ni Kipaji.
Kigoma soka ni kipaji
Mtwara soka ni kipaji,
Tabora soka ni kipaji
Tanga soka ni kipaji
Shinyanga soka ni kipaji
Morogoro soka ni kipaji.
....Kilimanjaro na Arusha wakifundishwa wanafundishika vizuri na kuwa wachezaji wa kisasa.
Mwanza wakifundishwa wanafundishika.
Kagera wakifundishwa wanafundishika.
Mbeya na Iringa wakifundishwa wanafundishika .
Ruvuma wakifundishwa wanafundishika . Pemba wakifundishwa wanafundishika.
Hayo maeneo mengine wabaki tu kama washangiliaji na wachezaji wa mdomoni na midadi.
Waelekeze nguvu zao kwenye Michezo mingine kama riadha , ngoma , ngumi n.k.
Wakati wa UMISETA tulifanya nini?Walifuta umiseta!wairudishe umiseta wataipua vipaji!
Waje mitaani pia kuna vipaji kibao
Waachane na wakina yondani etc
Kutwa tunakesha nao kwenye kuvesha mitungi
Ova
Kabla ya vyama vingi hao wenye vipaji waliifanyia nini Tz? Wewe ni mmoja wa hao wachawi wanaoconnect kila kitu na siasa.Hatuwezi jambo lolote kwa sababu ya wenzetu na dugu zetu waliogeuka kuwa Wanyonyaji na wakoloni halafu wanasingizia wazungu na nchi za magaharibi kuwa wao ndio wanatukwamisha.
Leo hii kila kitu ni siasa tu. Mashindano ya michezo kama zamani yamebaki yale makombe ya wanasiasa tu huko vijini ambapo kuna vipaji.
Maeneo yenye vipaji lakini wakigundulika kuwa sio wapiga kura wa CCM basi hata michezo itaonekana ni mikutano ya hadhara na maandamano na atakayefadhili mashindano ataandamwa na wakuu wa wilaya mpaka alie kilio cha mbwa koko.
Vipaji vya soka vinajulikana kuwa vipo Vijijini. Na kuna mikoa soka likifundishwa wanafundishika na kuna mikoa soka ni Kipaji.
Kigoma soka ni kipaji
Mtwara soka ni kipaji,
Tabora soka ni kipaji
Tanga soka ni kipaji
Shinyanga soka ni kipaji
Morogoro soka ni kipaji.
....Kilimanjaro na Arusha wakifundishwa wanafundishika vizuri na kuwa wachezaji wa kisasa.
Mwanza wakifundishwa wanafundishika.
Kagera wakifundishwa wanafundishika.
Mbeya na Iringa wakifundishwa wanafundishika .
Ruvuma wakifundishwa wanafundishika . Pemba wakifundishwa wanafundishika.
Hayo maeneo mengine wabaki tu kama washangiliaji na wachezaji wa mdomoni na midadi.
Waelekeze nguvu zao kwenye Michezo mingine kama riadha , ngoma , ngumi n.k.