Wakati huo ndio siasa ilikua Ni kila kitu na hapo ndipo tulipoanzia ugonjwa huo wa kuweka Kula kitu chini ya Chama.Kabla ya vyama vingi hao wenye vipaji waliifanyia nini Tz? Wewe ni mmoja wa hao wachawi wanaoconnect kila kitu na siasa.
Namaanisha ni maeneo ambayo watu wake wakiamua kufanya jambo moja wanalifanya kwa ufanisi hasa wanapoona kuwa ni jambo lenye manufaa ya kipato.Mkuu unasema tukifundishwa tunafundishika.
Wakati team ya taifa imechukua wachezaji wawili watatu kutoka visiwani.
Huku ball nature sema tu bara wanatubania sana ndio maana tukapokonywa uanachama CAF.
Hata hilo halitawezekana chini ya Makaburi Weusi CCM. CCM ndio Mchawi wa maendeleo nyanja zote Nchini.Ni aibu kubwa kwa nchi kubwa kama Tanzania kushindwa kufurukuta katika mchezo wa mpira wa miguu...
USHAURI.
Wachukuliwe mamiss Tanzania wa kuanzia ngazi zote... kisha tuongee na akina gaucho, ronaldo na wengineo kisha mamiss hao wadungwe mimba na hao wabrazil kisha tuje tuzilee mimba watoto wakikua hatuwezi kukosa watu kumi na moja wa kuunda timu ya taifa
Nawasilisha
Kama wakina JokateJe wakizaliwa watoto wa kike tu wakawa mamiss?
Tuanze na dada zako kwanza...Mi huwa najiuliza sana, inakuwaje tunakosa watu wanaojua kucheza mpira vizuri kama kwa wenzetu? Timu yetu ya Taifa kufungwa ni kawaida, vilabu vikienda nje, ni kufungwa tu, mbona majirani zetu au nchi za Afrika magharibi zinafanya vizuri, kwann tusiende kujifunza wanavyofanya? Tujue wanakula nn, wanafanya mazoezi gani, wafundishwa nn! Kama kuna kizazi maalum cha mpira, basi tupeleke dada zetu huko wakatiwe mimba waje watuzalie hicho kizazi na huku tupate wachezaji!!
Wanasiasa(ccm) wangekuwa wanapitia humubwangejifunza mengi sana.Unajua soka letu limetawaliwa na siasa.
Kuna Timu zimeundwa kisiasa kabisa. Sasa unategemea nini?
Hapo wanasiasa ndao wanaoharibu kila kitu kwenye nchi hii kwa sababu tu wameshindwa kulifanya taifa liwe moja.
Uchama umekua ni kitu cha muhimu sana kwa wanasiasa kuliko utaifa.
Siku mavyama haya yakisiasa yatakapokufa na kuzaliwa mengine itakua ndiyo siku nchi hii itakua na maono kwenye kila kitu na kufanikiwa.
Sera ya michezo iko kisiasa. Waziri wa michezo yupo kichama chama na anawaza chama chake tu na kupata umaarufu. Kazi yake imekua kutunga sheria tu kandamizi badala ya kutumia zile zilizopo kuja na ubunifu wa namna ya kujenga soka na michezo kwa ujumla akishirikiana na waziri wa Elimu badala yake ni matamko tu yasiyoisha.
Sijui hata kilichompeleka Maseru huyo Mwakyembe ni kufanya nini? Kati ya vitu vilivyotuletea mkosi ni kuwepo kwa huyu bwana uwanjani.Unajua soka letu limetawaliwa na siasa.
Kuna Timu zimeundwa kisiasa kabisa. Sasa unategemea nini?
Hapo wanasiasa ndao wanaoharibu kila kitu kwenye nchi hii kwa sababu tu wameshindwa kulifanya taifa liwe moja.
Uchama umekua ni kitu cha muhimu sana kwa wanasiasa kuliko utaifa.
Siku mavyama haya yakisiasa yatakapokufa na kuzaliwa mengine itakua ndiyo siku nchi hii itakua na maono kwenye kila kitu na kufanikiwa.
Sera ya michezo iko kisiasa. Waziri wa michezo yupo kichama chama na anawaza chama chake tu na kupata umaarufu. Kazi yake imekua kutunga sheria tu kandamizi badala ya kutumia zile zilizopo kuja na ubunifu wa namna ya kujenga soka na michezo kwa ujumla akishirikiana na waziri wa Elimu badala yake ni matamko tu yasiyoisha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tatizo la Mwakyembe na wengine wanaofeli sana kwenye ujenzi wa Taifa pamoja na kuwa na akili nyingi na elimu ya kutosha ni kufanya kila wasicho kiamini.Sijui hata kilichompeleka Maseru huyo Mwakyembe ni kufanya nini? Kati ya vitu vilivyotuletea mkosi ni kuwepo kwa huyu bwana uwanjani.