Quinn
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 473
- 1,184
Kwa maoni yangu ni HAPANA:
Wananchi wengi Tanzania au Africa kwa ujumla wana kipato cha chini ambacho utokana na shughuli za biashara ndogo ndogo hivyo kumzuia kutotoka nje ni sawa na kusababisha janga lengine la njaa pengine wengi watakufa kuliko hilo gonjwa lenyewe la COVID-19.
Watanzania wengi ni hand to mouth earners yaani inampasa afanye shughuli fulani ili mkono uende kinywani, je kumzuia mtu uyu akae nyumbani si ni swala la kutaka kumuua kabla ya hata ugonjwa huo na pengine ugonjwa huo angepona lakini njaa haina kupona usipopata chakula.
Uhalifu utaongezeka sana maana watu watakosa vyakula ndani na ukizingatia kama ni mfanyabishara basi kipato kimesimama na hivyo itawashawishi watu kuvunja nyumba za watu hasa wenye vipato vya kati na juu ili wapate chakula kwa lugha rahisi itakuwa kama Congo wale wapiganaji ya makundi ya waasi wanavyo vamia makazi ya watu kupora vyakula.
Ugonjwa wa COVID-19 kutokana na majibu ya maabara za China inaonyesha kuwa vijidudu vyake vinastawi vizur kwenye ubaridi au low temperatures hvyo hakuna haja ya kuchukua hatua kali haraka ambazo utawapoteza wananchi wako kwa njaa.
Kwa hali ya kawaida ugonjwa huu una low prevalence kwenye nchi za joto hivyo maamuzi ya kukurupuka haitakiwi hata kidogo. Corona virus ni kama Dengue ya kipindi kile ambacho kwa nchi zilizokuwa kwnye joto basi hali ilikuwa mbaya ila kwa wenzetu Dengue ilikuwa haipo na wala kutokuwa na madhara kma ilivyokuwa huku.
Maamuzi yaliyochukuliwa na Uganda , Rwanda na Kenya ya wananchi kukaa nyumbani na kutumia dola kuzuia wanaotembea ni ya kukurupuka.
Picha hii chini ni mwanamama mfanyabiashara wa kiganda akitoa machozi baada ya kufukuzwa na polisi yaani arudi nyumbani ili kupambana na maambukizi ya corona lakini kinachomliza ni atapata wapi pesa ya chakula kwa ajili ya familia yake??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wananchi wengi Tanzania au Africa kwa ujumla wana kipato cha chini ambacho utokana na shughuli za biashara ndogo ndogo hivyo kumzuia kutotoka nje ni sawa na kusababisha janga lengine la njaa pengine wengi watakufa kuliko hilo gonjwa lenyewe la COVID-19.
Watanzania wengi ni hand to mouth earners yaani inampasa afanye shughuli fulani ili mkono uende kinywani, je kumzuia mtu uyu akae nyumbani si ni swala la kutaka kumuua kabla ya hata ugonjwa huo na pengine ugonjwa huo angepona lakini njaa haina kupona usipopata chakula.
Uhalifu utaongezeka sana maana watu watakosa vyakula ndani na ukizingatia kama ni mfanyabishara basi kipato kimesimama na hivyo itawashawishi watu kuvunja nyumba za watu hasa wenye vipato vya kati na juu ili wapate chakula kwa lugha rahisi itakuwa kama Congo wale wapiganaji ya makundi ya waasi wanavyo vamia makazi ya watu kupora vyakula.
Ugonjwa wa COVID-19 kutokana na majibu ya maabara za China inaonyesha kuwa vijidudu vyake vinastawi vizur kwenye ubaridi au low temperatures hvyo hakuna haja ya kuchukua hatua kali haraka ambazo utawapoteza wananchi wako kwa njaa.
Kwa hali ya kawaida ugonjwa huu una low prevalence kwenye nchi za joto hivyo maamuzi ya kukurupuka haitakiwi hata kidogo. Corona virus ni kama Dengue ya kipindi kile ambacho kwa nchi zilizokuwa kwnye joto basi hali ilikuwa mbaya ila kwa wenzetu Dengue ilikuwa haipo na wala kutokuwa na madhara kma ilivyokuwa huku.
Maamuzi yaliyochukuliwa na Uganda , Rwanda na Kenya ya wananchi kukaa nyumbani na kutumia dola kuzuia wanaotembea ni ya kukurupuka.
Picha hii chini ni mwanamama mfanyabiashara wa kiganda akitoa machozi baada ya kufukuzwa na polisi yaani arudi nyumbani ili kupambana na maambukizi ya corona lakini kinachomliza ni atapata wapi pesa ya chakula kwa ajili ya familia yake??
Sent from my iPhone using JamiiForums