Je, kuna jitihada zozote za kutengeneza maprofesa wengi huko vyuoni?

Je, kuna jitihada zozote za kutengeneza maprofesa wengi huko vyuoni?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wanachuo wengi wanasoma kwa kutegemea ufadhili wa kutoka sehemu mbalimbali, inawezakuwa kwa: serikali, shirika, chuo, familia n.k

Gharama za kusoma degree, na masters sio kubwa sana, ndio maana hata ufadhili wake hauna changamoto sana.

Ukija upande wa PhD , gharama zinakuwa kubwa sana na wengi kutokupata ufadhili, na kuishia kwenye level ya masters.

Ni wachache sana wanaofanikiwa kupata ufadhili wa kusoma level hii; sio kwamba ambao hawajafikia level hii ya PhD hawana akili, bali ni kutokana na gharama kutokuzimudu, na ufadhili kutokuonekana.

Na waliofanikiwa wachache kufanya PhD hawatoi machapisho ya kutosha yatakayokuja kuwawezesha kuja kuwa maprofesa katika vyuo vyetu hapo baadaye.

Kwa mwenendo huu, mimi naona kuna uwezekano mkubwa huko mbeleni tukakosa watu ambao wana level ya u-profesa.

Nachoweza kushauri, tuwekeze nguvu nyingi kwenye kuwaendeleza wale wote wenye sifa za kusoma PhD lakini hawana vyanzo vya fedha vya kuhudumia ukufunzi wao, ili baadaye tuwe na maprofesa wengi watakaoinua elimu tuliyonayo.
 
waliopo wamefanya kazi gani? tutengemeze mafundi mchundo wakatengeneze koroboi na majiko banifu hao akina Prof. Lipumba hatuna kazi nao

Juzi kati wakati Mh. Rais Samia akitoa commission kwa maafisa magereza hasa wale waliotoka kwenye Kada ya uaskari alitoa angalazio kuwa askari akipanda cheo kuwa afisa anaacha kufanya kazi badala yake anazunguka tu koridoni hana kazi maalumu kwa sababu nyota ipo begani.

Hii imenifunza kuwa the more cheo/ elimu inapanda ndio uzalishaji/ output ya mtu inashuka. Ni bora tukawa na qatu wengi huku chini ambao ni wafanya kazi kuliko kuwa na watunga sera wengi ambao sera zao hazitekelezeki.
 
waliopo wamefanya kazi gani? tutengemeze mafundi mchundo wakatengeneze koroboi na majiko banifu hao akina Prof. Lipumba hatuna kazi nao

Juzi kati wakati Mh. Rais Samia akitoa commission kwa maafisa magereza hasa wale waliotoka kwenye Kada ya uaskari alitoa angalazio kuwa askari akipanda cheo kuwa afisa anaacha kufanya kazi badala yake anazunguka tu koridoni hana kazi maalumu kwa sababu nyota ipo begani.

Hii imenifunza kuwa the more cheo/ elimu inapanda ndio uzalishaji/ output ya mtu inashuka. Ni bora tukawa na qatu wengi huku chini ambao ni wafanya kazi kuliko kuwa na watunga sera wengi ambao sera zao hazitekelezeki.
Hawakutakiwa kuingia kwenye siasa
 
Bongo uprofesa ni kupoteza muda..mana hata waliopo hawana masaada kwa taifa hili..wengi njaa na fuata upepo kwa wanaisasa wa la saba.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bongo uprofesa ni kupoteza muda..mana hata waliopo hawana masaada kwa taifa hili..wengi njaa na fuata upepo kwa wanaisasa wa la saba.

#MaendeleoHayanaChama
Ulimwengu wa kitaaluma, wanakuwa wanaathirika sana
 
Ukiwaona wanavyojieleza kwenye TV kuelezea vita vya Ukraine badala ya kutafuta suluhu za Uchumi Tz
hahahaha, wasomi wa tz ni shida.

wakiitwa kwenye vyombo ya habari kuchangia mijadala, huwa wanapenda watambulike kama: mtaalam wa siasa za kimataifa, mbobezi wa diplomasia ya ulaya mashariki, mchumi mwandamizi, mkufunzi wa siasa za mashariki ya kati, mbobezi wa migogoro ya nchi za maziwa makuu nk.
 
African Education System has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st Class & get admission to medical & Engineering schools. The 2nd Class Students get MBAS and LLBs to manage the First Class students. The 3rd Class Students enter politics, and rule both 1st and 2nd Class students. The failures join the Army and control politicians who, if they are not happy with, they kick or kill them..... Best of all those who did not attend any school, become prophets & witch doctors, and everybody follows them. -----COMRADE ROBERT MUGABE
 
Wanachuo wengi wanasoma kwa kutegemea ufadhili wa kutoka sehemu mbalimbali, inawezakuwa kwa: serikali, shirika, chuo, familia n.k

Gharama za kusoma degree, na masters sio kubwa sana, ndio maana hata ufadhili wake hauna changamoto sana.

Ukija upande wa PhD , gharama zinakuwa kubwa sana na wengi kutokupata ufadhili, na kuishia kwenye level ya masters.

Ni wachache sana wanaofanikiwa kupata ufadhili wa kusoma level hii; sio kwamba ambao hawajafikia level hii ya PhD hawana akili, bali ni kutokana na gharama kutokuzimudu, na ufadhili kutokuonekana.

Na waliofanikiwa wachache kufanya PhD hawatoi machapisho ya kutosha yatakayokuja kuwawezesha kuja kuwa maprofesa katika vyuo vyetu hapo baadaye.

Kwa mwenendo huu, mimi naona kuna uwezekano mkubwa huko mbeleni tukakosa watu ambao wana level ya u-profesa.

Nachoweza kushauri, tuwekeze nguvu nyingi kwenye kuwaendeleza wale wote wenye sifa za kusoma PhD lakini hawana vyanzo vya fedha vya kuhudumia ukufunzi wao, ili baadaye tuwe na maprofesa wengi watakaoinua elimu tuliyonayo.
Shida mapro wenyewe wapo wapo tu
 
Hii nchi ina laana..chanzo cha laana ni baada ya chama cha mashetani kuvamiwa na majambazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maprofesa kutengeneza maprofesa ni kutengeneza ushindani. Haiko kwa interest yao kutengeneza maprofesa wengi zaidi. Huwa wanasema kwa kujivuna, "Tuko wawili tu Tz."
 
African Education System has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st Class & get admission to medical & Engineering schools. The 2nd Class Students get MBAS and LLBs to manage the First Class students. The 3rd Class Students enter politics, and rule both 1st and 2nd Class students. The failures join the Army and control politicians who, if they are not happy with, they kick or kill them..... Best of all those who did not attend any school, become prophets & witch doctors, and everybody follows them. -----COMRADE ROBERT MUGABE
Kuna ukweli
 
Back
Top Bottom