MhWacha nisubiri wenye Arusha yao waje wajibu, ila mtaani sisi Mmasai twamwita Masai, Mwarusha twamwita Muarusha, sijuagi kama ni kabila moja wale watu
MMMMMMH, nisalimie kwanza ww muarusha
Kwahiyo kukaa kote arusha hujui makabila ya huko?MMMMMMH, nisalimie kwanza ww muarusha
Ingekuwa Singida nngejua bwana nawe usinifanyie hivyo,mm najuaga kuamka asubuhi na kwenda kibaruan tuKwahiyo kukaa kote arusha hujui makabila ya huko?
Ww mtu wa singida?!Ingekuwa Singida nngejua bwana nawe usinifanyie hivyo,mm najuaga kuamka asubuhi na kwenda kibaruan tu
Hahahahaha sijui hataWw mtu wa singida?!
Unaficha hata kabila tu?!Hahahahaha sijui hata
Nimeoa pale misigiri kwenuHahahahaha sijui hata
Wamasai na Waarusha ni makabila mawili tofauti japo Yana muingiliano wa tamaduni kama mavazi, lugha (japo matamshi hutofautiana kidogo) vyakula, nk. Waarusha huwa wanapatikana maeneo ya Meru Arusha Mjini mpaka Namanga na watu huwachukulia kama class ya Wamasai walioendelea au civilised na sio kama wale wa porini. [HASHTAG]#Ninavyoelewa[/HASHTAG].