Wa arusha wengi walitokea Kilimanjaro wakawa wanatafuta fertile soil wakawa wanakimbilia mount meru na mount mery kule kulikuwa na wamasai tayari na kulikuwa na mapori na wa nyama. Wamasai hawalimi waarusha walienda kulima.
Ule muingiliano wakaanza kuingiliana kuona na lugha wakawa wanashare
Wamasai wakishaona sehemu watu wanalima na kuna waswahili kwenye mapori huwa wanahama mataokea Yake wakahama wakawaacha wageni.
Na mapori mengi yaliyo na fedha kuwaamisha wamasai ni kama unasukuma mlevi.
Unanunua eneo kama unataka kulima unalima alafu siku ng'ombe akaingia kwenye Shamba lako unakamata unapeleka Polisi unamtandika faini ya mil 5 kwasababu ni waoga wamahakamani baada ya miez mitatu wanaanza kuhama taratibu kutafuta eneo lengine.
Kimbilio la wamasai kwa sasa ni kwenye hifadhi pekee. Maana hifadhi huwezi nunua ardhi wala kufanya economic activity.