Je, kuna kabila la Wamasai na Waarusha?

Je, kuna kabila la Wamasai na Waarusha?

Wa arusha wengi walitokea Kilimanjaro wakawa wanatafuta fertile soil wakawa wanakimbilia mount meru na mount mery kule kulikuwa na wamasai tayari na kulikuwa na mapori na wa nyama. Wamasai hawalimi waarusha walienda kulima.
Ule muingiliano wakaanza kuingiliana kuona na lugha wakawa wanashare

Wamasai wakishaona sehemu watu wanalima na kuna waswahili kwenye mapori huwa wanahama mataokea Yake wakahama wakawaacha wageni.


Na mapori mengi yaliyo na fedha kuwaamisha wamasai ni kama unasukuma mlevi.

Unanunua eneo kama unataka kulima unalima alafu siku ng'ombe akaingia kwenye Shamba lako unakamata unapeleka Polisi unamtandika faini ya mil 5 kwasababu ni waoga wamahakamani baada ya miez mitatu wanaanza kuhama taratibu kutafuta eneo lengine.


Kimbilio la wamasai kwa sasa ni kwenye hifadhi pekee. Maana hifadhi huwezi nunua ardhi wala kufanya economic activity.
Waliotokea Kilimanjaro ni Waarusha au Wameru ? Mbona unachanganya mambo
 
hao wote wamasai tu sema mmoja kasogea zaidi polini mwingine mjini kigodo lugha yenyewe moja
 
Waarusha ni kabila linalopatikana mkoani Arusha, sehemu kubwa ya Arusha mjini. Waarusha walitokana na Muingiliano wa makabila ya Wachaga ,Wapare na Wameru + Masai.Wanazungumza kiarusha ambacho ni kama kimasai
 
Duuu kwa hio kumbe kuna ukweli eeeehhhh. Sasa mbona mm sijawahi kusikia kama kuna kiongozi yeyote wa kitaifa kabila la waarusha, maana nimeona mnasema waarusha ni civilized Masai. Nitajieni hata mmoja basi.
 
Wa arusha wengi walitokea Kilimanjaro wakawa wanatafuta fertile soil wakawa wanakimbilia mount meru na mount mery kule kulikuwa na wamasai tayari na kulikuwa na mapori na wa nyama. Wamasai hawalimi waarusha walienda kulima.
Ule muingiliano wakaanza kuingiliana kuona na lugha wakawa wanashare

Wamasai wakishaona sehemu watu wanalima na kuna waswahili kwenye mapori huwa wanahama mataokea Yake wakahama wakawaacha wageni.


Na mapori mengi yaliyo na fedha kuwaamisha wamasai ni kama unasukuma mlevi.

Unanunua eneo kama unataka kulima unalima alafu siku ng'ombe akaingia kwenye Shamba lako unakamata unapeleka Polisi unamtandika faini ya mil 5 kwasababu ni waoga wamahakamani baada ya miez mitatu wanaanza kuhama taratibu kutafuta eneo lengine.


Kimbilio la wamasai kwa sasa ni kwenye hifadhi pekee. Maana hifadhi huwezi nunua ardhi wala kufanya economic activity.
Eeeh kumbe ? Nilikuwa sijui haya
 
Waarusha ni Wabantu wakati Wamasai ni Nilotic . Lugha wanaongea Moja lakini DNA ya Waarusha ni ya Kipare
 
Back
Top Bottom