Huku na huku nafsi imekata tamaa na kuendelea kuwepo duniani. Sijui nini kinafuata baada ya roho yangu kuacha mwili labda huko mbeleni baada ya kifo nitafahamu.
Siri ya mtungi aijuaye kata, siwezi kuelezea yote ninayoyapitia hata nguvu ya kuandika sina. Malapa na viatu vimeisha kwa kutafuta vibarua vya Kila siku, kodi nimedanganya kwa mwenye nyumba mpaka nimechoka, madeni Kila Mahali napita mtaani kama mwizi kwa kuchoka kuwapanga wadeni wangu.
Familia yangu nyumbani macho kwangu, nimepambana kila niwezavyo kwenye maombi nimehudhuria sana lakini hakuna mabadiko chanya.
Najiuliza Kuna mbinu yoyote ya kujiua ambayo kifo kinakukuta usingizini?
Siri ya mtungi aijuaye kata, siwezi kuelezea yote ninayoyapitia hata nguvu ya kuandika sina. Malapa na viatu vimeisha kwa kutafuta vibarua vya Kila siku, kodi nimedanganya kwa mwenye nyumba mpaka nimechoka, madeni Kila Mahali napita mtaani kama mwizi kwa kuchoka kuwapanga wadeni wangu.
Familia yangu nyumbani macho kwangu, nimepambana kila niwezavyo kwenye maombi nimehudhuria sana lakini hakuna mabadiko chanya.
Najiuliza Kuna mbinu yoyote ya kujiua ambayo kifo kinakukuta usingizini?