Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Juzi kati hapa polisi waliwatuhumu CHADEMA kuwa na njama za kuchoma vituo na kuleta ghasia. Tuhuma ambazo zilitolewa na msemaji wa jeshi la polisi.
CHADEMA walijibu juu juu na kukanusha . Walibaki kumshambulia msemaji wa jeshi la polisi kwa kebehi na vitisho.
Huyu mzee aliyeuawawa kikatili inasemekana alikuwa askari wa jeshi mstaafu.
Kwa mujibu wa John Mnyika kamata kamata ya huyu mzee aliyeuawawa ilifanyika mchana. Abiria waliona watu wenye silaha za kivita. Askari wa usalama wa barabarani alikuwa ameketi siti ya mbele ya gari walilokuwa wakitumia wakamataji.
Maswali ni mengi. Lakini hata kama huyu mzee alikuwa na kosa au mvutano na Jeshi la polisi kama ni kweli walimkamata. Kwa nini wasingempeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria za nchi?
Kwa nini waliomuua hawakutaka atambulike?
Soma Pia:
Kama kuna kitu hakipo sawa kati ya CHADEMA na Polisi tunaomba tuambiwe.
CHADEMA walijibu juu juu na kukanusha . Walibaki kumshambulia msemaji wa jeshi la polisi kwa kebehi na vitisho.
Huyu mzee aliyeuawawa kikatili inasemekana alikuwa askari wa jeshi mstaafu.
Kwa mujibu wa John Mnyika kamata kamata ya huyu mzee aliyeuawawa ilifanyika mchana. Abiria waliona watu wenye silaha za kivita. Askari wa usalama wa barabarani alikuwa ameketi siti ya mbele ya gari walilokuwa wakitumia wakamataji.
Maswali ni mengi. Lakini hata kama huyu mzee alikuwa na kosa au mvutano na Jeshi la polisi kama ni kweli walimkamata. Kwa nini wasingempeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria za nchi?
Kwa nini waliomuua hawakutaka atambulike?
Soma Pia:
Kama kuna kitu hakipo sawa kati ya CHADEMA na Polisi tunaomba tuambiwe.