Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZipoKatika nchi jirani kuna social media kama JF ambapo tunaweza kujiandikisha kama tunavyofanya hapa JF? Itapendeza kuona wenzetu wanasema nini kuhusu sisi, sisi kuwajua wao wanasemaje kuhusu kwao etc etc.
Tz tutaipata wapi kama hii😁😁😁Wenzetu wanazo tena bora sana.mfano malawi hata magazeti yapo online(www.maravipost.com)
hujanipata vizuri. Facebook si ya majirani, nataka kitu cha native Kenyan, Ugandan, Mozambican ambapo anonymity inakuwa maintained and user-generated content etc.....Pia kuna facebook.com
Hii ni gazeti online, siiyo kama JF, maana not user-generated content and anonymity I guess is not a priorityWenzetu wanazo tena bora sana.mfano malawi hata magazeti yapo online(www.maravipost.com)
Hapa kwetu kulikuwa na gazeti la raiamwema online.lakini limefungiwa.wenzetu wako mbali lazima tukubali.Hii ni gazeti online, siiyo kama JF, maana not user-generated content and anonymity I guess is not a priority
Kenyanlist.comhujanipata vizuri. Facebook si ya majirani, nataka kitu cha native Kenyan, Ugandan, Mozambican ambapo anonymity inakuwa maintained and user-generated content etc.....
kweli nimeona. asanteKenyanlist.com
Nairaland ipo kama jf kabisa.. ina majukwaa ya uchumi, biashara, mapenzi nk na mada za hovyo pia huzikosi mpaka stori za bongo utazikuta mle.Nairaland bablai
Kuna kipindi JF ilihamia Kenya, Lile jukwaa lao miyetusho kichiziKatika nchi jirani kuna social media kama JF ambapo tunaweza kujiandikisha kama tunavyofanya hapa JF? Itapendeza kuona wenzetu wanasema nini kuhusu sisi, sisi kuwajua wao wanasemaje kuhusu kwao etc etc.
Kuna kitu kama hiki KenyaKuna kipindi JF ilihamia Kenya, Lile jukwaa lao miyetusho kichizi
YesKuna kitu kama hiki Kenya
![]()
KenyanList.com | Share. Discuss. Advertise. Proudly Kenyan.
Welcome to Kenya's leading online discussion forum. Since Sept. 7, 2004. Share | Discuss | Advertise. Proudly Kenyan.kenyanlist.com
![]()
What's new
kenyanlist.com
Mkuu hivi umeelewa kile ambacho mleta Uzi anataka?wewee umekalia kuleta lawana zako na habari za magazeti kufungiwa,be watchfulHapa kwetu kulikuwa na gazeti la raiamwema online.lakini limefungiwa.wenzetu wako mbali lazima tukubali.
yes nimeona hazima wateja wengiZipo kenyanlist na kenya talk ambayo ni copy na paste ya JF ila zimedoda sana, wachangiaji wachache sana.