Je, kuna kozi fupi kuhusu Afya ya Ngozi (Skin Care)?

Je, kuna kozi fupi kuhusu Afya ya Ngozi (Skin Care)?

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Mimi ni mwanafunzi ninayesoma Utabibu, je, kuna short course ya Afya ya Ngozi (skin care) au mpaka niwe specialized doctor wa ngozi?

Lengo langu kubwa ni kuwa mfanyabiashara mkubwa wa masuala ya vipodozi, sasa ili niwe na utaalamu wa kumshauri mtu kipodozi kipi atumie na kipi asitumie inabidi niwe na maarifa ya kutosha.

Msaada wenu unahitajika mno.
 
Nazipataje?
Jaribu ku google au ukiweza kwenda Nairobi au south africa kupata hiyo short course. Mimi nipo kwenye hiyo field na products nazitengeneza mwenyewe
 
Back
Top Bottom