Je kuna kozi ya muda mfupi ya web designing

muggyen

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
347
Reaction score
253
Habari zenu wadau swali langu kama lilivyo hapo juu linalenga kufahamu kama kuna kozi ya muda mfupi juu ya web designing kwa miezi mitatu na kuwa na uwezo wa kudesign na kuhost site .
Kama ipo ni wapi kwa dar na ada yake ni bei gani
Thanks in advance
 
Snipa naomba kupata contacts tafadhali iyo na iyo ya tabata yaweza kuwa nzuri kwangu maana mimi nipo tabata segerea chama ntajaribu kufuatilia pia na iyo
 
Ndo ile ya tabata chama au ipi iyo
 
Suitable for me ngoja nkicontact ila mbona site yenu ipo kama blog badala ya kama website
 
Naweza kujua course ni ya muda gani tafadhali
 
Shukrani ila napenda kujua coz ni ya muda gani na kama naweza pata contacts zao ni bora zaidi
 
Shukrani sana ila sijaweza pata namba yao
ya simu ila kama nlivyouliza swali je hii ni coz ya muda mfupi preferably 3 months or less
Thanks in advance
 
Shukrani sana ila sijaweza pata namba yao
ya simu ila kama nlivyouliza swali je hii ni coz ya muda mfupi preferably 3 months or less
Thanks in advance
Wewe naye unaonekana mvivu kila kitu nimekuwekea bado unauliza......haya hii hapa wapigie Jumanne;

For more assistance on how to enroll into one of the programs above kindly contact our Customer Support Officer at 022 2410645
 
Thanks thumbs up your gr8t
 
Thanks thumbs up your gr8t
Hii hapa sasa ndo ipo kamili

CONTACT ADRESSESFor any enquiry please contact the following:
Head Office:
The University of Dar salaam Computing Centre (UCC)
P.O. Box 35062, Dar es Salaam.
Tel: 022 2410645/41, 022 2136561
Fax: 022 2410690, 022 2136560
Mobile: 0713 570 024, 0784 717342, 0713 580612,
0784 903526, 0767 612064
Email: training@udsm.ac.tz, ucc@udsm.ac.tz
 
Hi ndo nliokuwa nkihitaji thanks sana thumbs up mwihadisa
 
Naweza kujua course ni ya muda gani tafadhali


Mkuu sijui website ya aina gani ambayo unataka kui develop baada ya miezi mitatu!

Kwasababu mpaka unapo iona website imekamilika! Vitu vingi sana hutumika!
Mana nauhakika unataka kuwa mtengenezaji wa website!

Haya unatakiwa kusoma programming languages!

Kuna PHP, perl, Java scripts, Python nakuendelea !

Vitu ambavyo kwa miezi hiyo mitatu ni uongo mtakatifu !
 
Asante so itachukua muda gani
 
Naona kam itakua preferably in 3 years
 
Naona kam itakua preferably in 3 years


sio kweli mkuu! Miaka mitatu ni mingi sana! Mkuu ! Kwa web designing!

Ila ni wewe tu uwepesi wako wa ku move forward! Mana huwezi kwenda mbele ukiwa haujakielewa kitu cha nyuma!
!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…