Je kuna kuna eneo au nchi iliyovunja rekodi ya uanachama CAF zaidi ya Zanzibar?

Je kuna kuna eneo au nchi iliyovunja rekodi ya uanachama CAF zaidi ya Zanzibar?

getrusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
2,150
Reaction score
1,822
Wadau naomba kujuzwa je kuna kuna eneo au Nchi iliyovunja rekodi ya uanachama wa muda mfupi zaidi wa kuwa mwanachama wa shirikisho la soka Afrika Caf zaidi ya Zanzibar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili ujihalalishie kuwa ni Zanzibar sio,ni siasa za maji taka za nchi ya tanganyika ndo zimeyataka haya. ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom