stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
Salaam wana JF.
Naombeni kujulishwa kama kuna mabadiliko ambayo huwa yanajitokeza kiafya endapo mke wake akishika mimba, mfano mwanaume kuumwa ,kujisikia kichefuchefu,kwa ujumla kuwa na dalili za mama mjamzito.
Naombeni kujulishwa kama kuna mabadiliko ambayo huwa yanajitokeza kiafya endapo mke wake akishika mimba, mfano mwanaume kuumwa ,kujisikia kichefuchefu,kwa ujumla kuwa na dalili za mama mjamzito.