BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Hahahaaaaa,,,kwa hiyo ndiyo nisex??!
inakua vestigal organUnaikumbuka ile "USE AND DISUSE"
Sina tatzo ila naaamua tu nisisex hadi nitakapoamua kuoaKwa nn usisex basi utakua na tatizo,..
Hahahaaaaaa,,,,,Mimi nilimwona mmoja maana aliwasongelea paka akawa anachungulia jinsi unavyoingia.
Maana yake ndio nini??inakua vestigal organ
Sina tatzo ila naaamua tu nisisex hadi nitakapoamua kuoa
kiungo ambacho hakitumiki kina uwezekano wa kupungua had kupotea according to use and disuse theoryMaana yake ndio nini??
Is it applicable in real life??kiungo ambacho hakitumiki kina uwezekano wa kupungua had kupotea according to use and disuse theory
Mimi ni mwanaume ila ndio nimeamua niwe hivyo mkuuKwan wew mwanamke,.. Mwanamke ndo anatakiwa atunze asili yake,..
Nifanyeje ili nisipizi mapema nikiwa tayar kuwa na mwenzangu
Duuuuh sawaCha kufanya mkuu uwe unakutana na mwenzio walau hata Mara 3 au zaidi kwa wiki,hali ya kupizi mapema itapungua na hatimae kuisha kabisa
Vizuri sana mkuuHata mm pia naji proud sababu Nina miaka 22 toka nzaliwe simjui mwanamke alivo, na bado nnamuomba Allah anilinde, Inshaallah
Sidhani kama itakuwa hivyoEngine na gear box vitapata kutu hopo mpaka u bust ama u overhaul kabisa
HogwashUnaikumbuka ile "USE AND DISUSE"
Hivi unaamini kama kusoma ndio kila kitu katika,maisha???Elimu haina mwisho ndio maana,nimeuliza ili nipate elimu pamoja na hayo asante kwa ushauri wakoSijui watu wengine huko shuleni mlienda kusomea nini??!!! Hakuna madhara ya kufanya abstinence cha msingi kama ushajiamulia kifanya hivyo its very okay...mm nliingia uko at 27 and now i am at my 31st and nothing i found absurd so far
Good...but hakuna mahali ambapo nimesema elimu ni kila kitu buddy...thanx kwa kunielewa...Hivi unaamini kama kusoma ndio kila kitu katika,maisha???Elimu haina mwisho ndio maana,nimeuliza ili nipate elimu pamoja na hayo asante kwa ushauri wako