Nina rafiki yangu ana mtoto wa mwaka na nusu na tangu apate huo ujauzito hajawahi kushiriki tendo la ndoa mpaka sasa. Je, kwa muda aliokaa kuna madhara kiafya?
Nikuulize: kwanini hajashiriki tendo la ndoa? Ameachika au hataki tu.. Anyway; hakuna madhara yoyote kiafya ya kutoshiriki tendo la ndoa KAMA AMEAMUA MWENYEWE! Ila kama alishazoea hyo lishe af akaja kuikosa kwa sababu flani; itamuathiri mno kisaikolojia.. Jambo la kukumbuka tu ni kwamba; kila kitu ni maamuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.