Je, kuna madhara yoyote kwa kuchanganya pombe na energy?

Je, kuna madhara yoyote kwa kuchanganya pombe na energy?

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Habari wakuu,

Kuna kapepo ka ulevi kamenivagaa kakuchanganya Kvant na mo energy yaani yaani imekuwa kama utamaduni kwangu karbia kila muda.

Nikijskia kupiga gambe huwa nafanya haya mazoea nahisi kuna namna nafubaza nguvu ya K vant, Lakini pia inapunguza ukali wake kooni, Wataalam kuna shida yoyote hapa?
 
Endelea kujiua tu, mwisho wa siku wote tutakufa tu au sio?
 
Habari wakuu, kuna kapepo ka ulevi kamenivagaa kakuchanganya Kvant na mo energy yaani yaani imekuwa kama utamaduni kwangu karbia kila mda nikijskia kupiga gambe huwa nafanya haya mazoea nahis kuna namna nafubaza nguvu ya K vant, Lakini pia inapunguza ukali wake kooni, Wataalam kuna shida yoyote hapa??
Unaweza kugundua kinywaji muruaaa ambacho wewe ndio ukawa founder wa kinywaji may be kikaitwa bineg yaani bia na energy au kikaitwa B&G AU BE. HUJAPIGA HELA HAPO ILA UACHE TAMAA USIUZE BEI GHALI SASAA [emoji3]
 
Yani kwa umri huu wa ghorofa yangu ya 3 sijui radha ya energy
 
Nilicho gundua sasa hivi sio Kila anae changanya kemikali kwamba ni mwana kemia au fizikia wengi ni walevi tuu na harakati za kutafuta uzuri kwa vilevi wanavyo kunywa
 
NI HERI KUNYWA DAMU YA YESU MAANA HIYO NI MAJI YA UZIMA HAUTAYUMBA YUMBA KAMWE UTEMBEAPO HATA USIMAMAPO NA ADUI HAUTATIKISIKA WEWE WALA KUYUMBA
 
Habari wakuu,

Kuna kapepo ka ulevi kamenivagaa kakuchanganya Kvant na mo energy yaani yaani imekuwa kama utamaduni kwangu karbia kila muda.

Nikijskia kupiga gambe huwa nafanya haya mazoea nahisi kuna namna nafubaza nguvu ya K vant, Lakini pia inapunguza ukali wake kooni, Wataalam kuna shida yoyote hapa?
Madhara yake ni huo utamu tamu.. hali hyo upelekea kunywa kiwango kikubwa mpka kuzimika na kuvunjiwa yai.

Angalizo

Hyo inaitwa kafie mbele..
unakunywa Magomeni unaenda kuzimika temeke
 
Pombe inapunguza Nguvu na umakini
Energy inaongeza Nguvu na umakini

Ukinywa pombe yenye mchanganyiko wa energy, utalewa ila kwa kuchelewa sana

Pia hata ukilewa, bado utakua na nguvu
 
NI HERI KUNYWA DAMU YA YESU MAANA HIYO NI MAJI YA UZIMA HAUTAYUMBA YUMBA KAMWE UTEMBEAPO HATA USIMAMAPO NA ADUI HAUTATIKISIKA WEWE WALA KUYUMBA
Unafiki mbaya Sana
Yuda wee ulimsaliti yesu,
sahv ndo unajifanya kumtetea[emoji4]
 
Habari wakuu,

Kuna kapepo ka ulevi kamenivagaa kakuchanganya Kvant na mo energy yaani yaani imekuwa kama utamaduni kwangu karbia kila muda.

Nikijskia kupiga gambe huwa nafanya haya mazoea nahisi kuna namna nafubaza nguvu ya K vant, Lakini pia inapunguza ukali wake kooni, Wataalam kuna shida yoyote hapa?
Huo ni uhuni.Hicho kiwanda cha pombe kingekuchanganyia hukohuko kama kungekuwa na umuhimu.Tumia kilivyo bila kuchanganya.
 
Nikijua leo ntalewa sn,afu ntadrive mwnyw
Lazima nimix pombe na energy ili nisije poteza umakini barabarani, Na kweli nakua active sana utadhani sijalewa pombe[emoji4]
 
Unafiki mbaya Sana
Yuda wee ulimsaliti yesu,
sahv ndo unajifanya kumtetea[emoji4]
ILA UNAJUA YESU NI KABILA LA YUDA

YUDA NDIO UKOO WA YESU

ISKALIOTI ALITUMIKA NA SHETANI TU KUCHAFUA JINA LA YUDA

KUNA DeePond Mzuri na kuna DeepPond Mbaya

SIO DEEPOND WOTE WABAYA
 
mzee wangu anakunywa safari miaka nenda rudi, wenzake waliokua wanakunywa mara leo konyagi mara kesho wine mara kesho bingwa mara kesho serengeti walishachoma figo sijui wako wapi, kunywa kistaarabu ndugu hizo pombe zipo kwaajili ya kodi za walafi serikali zitakupiga za uso kwa surprise.
 
Habari wakuu,

Kuna kapepo ka ulevi kamenivagaa kakuchanganya Kvant na mo energy yaani yaani imekuwa kama utamaduni kwangu karbia kila muda.

Nikijskia kupiga gambe huwa nafanya haya mazoea nahisi kuna namna nafubaza nguvu ya K vant, Lakini pia inapunguza ukali wake kooni, Wataalam kuna shida yoyote hapa?
Mbona unaenda mbali sana, yani hata usipochanganya kila kimoja kina madhara.
 
Kwa sasa sina jibu Endelea kutumia ikikufanya kitu mbaya ndo utakua wa mfano jibu litapatikana kama ni mbaya au laa
 
Back
Top Bottom