KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
anza kunywa liqueur kama shida ni radha maana liqueur zinakuwa na radha moja kwa moja na sio kali kihivyo,pia hiyohiyo liqueur unaweza kumix na kinywaji chengine ila heri ukamix chenye radha kama hiyo liqueur hapo ndo hutasikia kabisa ni kulewa tu!..
moja kati ya liqueur nayoikubali ni frangelico! ina radha ya vanilla ila sasa kwenye liqueur lazima uwe namfuko kaka sio ujibanebane!!..
pombe inataka mtu mwenye pesa ambae umeshafanya maendeleo then unaanza kula mafanikio nje na hapo ni kulazimisha starehe tu!.. we unakuta mtu anakunywa double kick! aisee..
moja kati ya liqueur nayoikubali ni frangelico! ina radha ya vanilla ila sasa kwenye liqueur lazima uwe namfuko kaka sio ujibanebane!!..
pombe inataka mtu mwenye pesa ambae umeshafanya maendeleo then unaanza kula mafanikio nje na hapo ni kulazimisha starehe tu!.. we unakuta mtu anakunywa double kick! aisee..