Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehem kama Dar kuku wa kienyeji ni adimu sana......Mwanaume kuanza dalili za matit kama jinsi ke,wakike kuota ndevu, mwili kuonekana una umrii mkubwa au kuwahi kuzeeka pia mambo ya kiume kwa mwanaume kushindkana etc.
Any way, kwann usitumie wakienyeji?
Kweli mkuu madhara achana nayo yatajua yenyeweMie nakula kila kitu. Madhara yatajiju...
![]()
Motivation speaker for eating fake chickens "broilers" [emoji16]kuna mdogo wangu wa kiume ana maziwa na hajawahi kutumia kuku wa kisasa
Habari zenu wana JF,
Mojawapo ya chakula kinachotumika na idadi kubwa ya watu hasa mijini ni nyama ya kuku wa kisasa.
Je, kuna madhara yoyote ambayo mtu anaweza kupata baada ya utumiaji wa hiki chakula kwa muda mrefu?
karibuni!
Nimecheka kwa sauti sana... Ukitaka kumnyima mwanaume kitu mwambie kinamaliza nguvu za kiume, na ukitaka akipende ambacho hakukipenda kabla basi mwambie kinasaidia nguvu za kiume!zina mahusiano na nguvu za kiume???
Wanakuzwa na madawa na wewe ukila unakula yale madawa ambayo hasa hujikusanya kwenye ngozi na mifupa..Habari zenu wana JF,
Mojawapo ya chakula kinachotumika na idadi kubwa ya watu hasa mijini ni nyama ya kuku wa kisasa.
Je, kuna madhara yoyote ambayo mtu anaweza kupata baada ya utumiaji wa hiki chakula kwa muda mrefu?
karibuni!
SAS wazungu ,wachina Wao wanakula Muda wote kipindi choteHabari zenu wana JF,
Mojawapo ya chakula kinachotumika na idadi kubwa ya watu hasa mijini ni nyama ya kuku wa kisasa.
Je, kuna madhara yoyote ambayo mtu anaweza kupata baada ya utumiaji wa hiki chakula kwa muda mrefu?
karibuni!
Na Kisha kuwaje mkuu ....Wanakuzwa na madawa na wewe ukila unakula yale madawa ambayo hasa hujikusanya kwenye ngozi na mifupa..