Madhara yapo mengi kiafya.
1.unapunguza uwezo wako wa kufkiri maana kuku hao hupewa dawa nyingi zenye madhara kwa binadamu pia kwa kuku wenyewe ndo maana mda wote unawakuta wamesinzi kama mateja jiulize kama kuku huyo utamla wewe utakuwaje??
2.kupunguza nguvu za kiume,kuku hao mpaka wa kuwe wanapewa dawa nyingi,ARV PIAna nyingine kibao,
3.kubadilisha mfumo wa homoni kwa mwanamke piano mwanaume