Je kuna madhara yoyote yatokanayo na kunyonyana mate(denda)

Je kuna madhara yoyote yatokanayo na kunyonyana mate(denda)

bern chuwa

Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
6
Reaction score
0
Habarini wanajukwaa,
Naomba kuuliza kama kuna madhara yoyote ya kunyonyana mate (denda) kama zipo ni zipii?

Nawasilisha.
 
Some infections especially those caused by bacteria may be transmitted from one person to another, kwa hiyo elewa hivyo, japo siku hizi bila kumla denda mrembo hajapagawa, hakikisha angalau mnakuwa na vinywa safi kwa kupiga mswaki na dawa nzuri ili kupunguza uwezekano wa kuambukizana oral related infections!!
 
Hakuna mazara ww Nyonyamo tu
Yangekuepo ungeyaona watu kila siku wanakulana denda
 
hapo fangas na ukurutu wa mdomo.kuwa makin na aina ya mwanamke.utaoza mdomo
 
Ukimwi,hepatiti 8,fungus,ebola,kipindupindu,kuhara na kuharisha,maumivu ya tumbo,kuoza bandama etc
 
Kunyonyana inaweza ikawa ni chazo cha kuambukizana magonjwa ya mbali mbali kama fungus,wataalam wanasema hepatisis ,pia ukimwi .. Vinginevyo mswano tuuu nyonya mpak ukate ulimi
 
Wewe Mkuu Unamangamanga Nini?? Kula Mate tu Kwa Patna Wako Kiroho Safi Hakuna tatizo lolote Kiafya! Au Mkuu Unamaanisha Kutwambia Kuwa Demu Wako Hapigi Mswaki??
 
Hakuna ki2 kinachonitia kiwewe+mzuka wa kugegedana kama denda aaaaaha!!! ashiiiiiii.......!!!!! mmmmmmhhhh....!!!! Acha kabisa
 
Kile kitu kilivyo kitamu ungekuta nilisha kufa
 
Denda hatareeeee hbv (hepatitis b) hakunaga dawa ...
 
Back
Top Bottom