Je, kuna mtu anafahamu ndonya moja ni sawa na kg ngap?

swali je kuna mtu anafaham ndonya moja ni sawa na kg ngap?
debe moja ni sawa na kgs ngap?
gunia moja linajazwa kwa debe ngapi?

tupeane msaada katika hili tafadhali.
Hahaha! Mkuu, nenda shule. Maana msomi yeyote hapa atakuuliza ndonya ya chumvi, sukari, mchele, ulezi au maharage?

Yaani ukitaka ujitetetee kisomi, hapa sema nilimaanisha debe na ndonya tupu ni kg ngapiπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
swali je kuna mtu anafaham ndonya moja ni sawa na kg ngap?
debe moja ni sawa na kgs ngap?
tupeane msaada katika hili tafadhali.

Na mie naomba nikuulize; kilo moja ya pamba na kilo moja ya chumvi kipi kizito?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…