Je, kuna mtu anafahamu ndonya moja ni sawa na kg ngap?

Je, kuna mtu anafahamu ndonya moja ni sawa na kg ngap?

swali je kuna mtu anafaham ndonya moja ni sawa na kg ngap?
debe moja ni sawa na kgs ngap?
gunia moja linajazwa kwa debe ngapi?

tupeane msaada katika hili tafadhali.
Hahaha! Mkuu, nenda shule. Maana msomi yeyote hapa atakuuliza ndonya ya chumvi, sukari, mchele, ulezi au maharage?

Yaani ukitaka ujitetetee kisomi, hapa sema nilimaanisha debe na ndonya tupu ni kg ngapi🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom