Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
nipo kijijini week ya pili hii. nilikuwa nataka kununua bidhaa flani ya nafaka. ila kitu ambacho kinanipa shida ni kuwa upimaji wa watu wa huku unasumbua. mfano nataka kununua ulezi wao hawapimi kwa kilo. wana kipimo flani kama kibakuli wanaita NDONYA.
hivyo wanauza kwa ndonya.. badala ya kusema kilo kadhaa wao wanakwambia ndonya kadhaa... shida ni kuwa sifaham ndonya moja ni sawa na kg ngap.
lingine ni kuwa wanakipimo kikubwa cha debe. kama ndoo ya bati ya pembe nne. wanaita debe. hivyo wanakwambia debe moja tsh kadhaa.
swali je kuna mtu anafaham ndonya moja ni sawa na kg ngap?
debe moja ni sawa na kgs ngap?
gunia moja linajazwa kwa debe ngapi?
tupeane msaada katika hili tafadhali.
hivyo wanauza kwa ndonya.. badala ya kusema kilo kadhaa wao wanakwambia ndonya kadhaa... shida ni kuwa sifaham ndonya moja ni sawa na kg ngap.
lingine ni kuwa wanakipimo kikubwa cha debe. kama ndoo ya bati ya pembe nne. wanaita debe. hivyo wanakwambia debe moja tsh kadhaa.
swali je kuna mtu anafaham ndonya moja ni sawa na kg ngap?
debe moja ni sawa na kgs ngap?
gunia moja linajazwa kwa debe ngapi?
tupeane msaada katika hili tafadhali.