Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Shukrani bro. Imebidi nifute nilimix na ya TMA. Asante sana.Hii ni nyingine mkuu. Uzi unaulizia metrology
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani bro. Imebidi nifute nilimix na ya TMA. Asante sana.Hii ni nyingine mkuu. Uzi unaulizia metrology
Hapo nimekusoma. Kama vipi piga diploma au certificate nyingine kama mambo bado.Mkuu nilisoma bachelor of industrial metrology and standardization, ambayo inatolewa na chuo cha CBE tu.
Hapo nimekusoma. Kama vipi piga diploma au certificate nyingine kama mambo bado.
TBS, Weight and MeasuresHabari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba msaada kwa anayeelewa Degree ya Metrology and Standardization sehemu atazoweza kufany kazi pamoja na basic salary yake.
TBS, Weight and Measures
TBS kitengo cha metrology and standardizationHabari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba msaada kwa anayeelewa Degree ya Metrology and Standardization sehemu atazoweza kufany kazi pamoja na basic salary yake.
AchaHabari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba msaada kwa anayeelewa Degree ya Metrology and Standardization sehemu atazoweza kufany kazi pamoja na basic salary yake.
Hio kozi nilisoma semister 1 tu CBE nkaskuti nkaona ni kupoteza muda nkapiga chiniHapa inaitaji ujikane nafsi. Kama kungekuwa na connection unajua ukimaliza pande lipo sawa. Ila kwenda kusoma tena inaweza kuwa kama kombolela tu
Hio kozi nilisoma semister 1 tu CBE nkaskuti nkaona ni kupoteza muda nkapiga chini
Usithubutu kusoma huo ujinga.ww kasomee kozi za engineering
ahahaaa hali ya hewa tena!! elimu elimu elimu. Mzee hao wana deal na mambo ya wakala wa vipimo na mizani.Kazi ni mamlaka ya hali ya hewa either Airport ,,,au kwenye vituo vya hali ya hewa nchini kote ,,,,au makao makuu hapo ubungo plaza kwa msaada zaidi tembelea www.meteo.go.tz