Je kuna nchi iliyoweka bendera yake juu ya milima tofauti na tanzania?

Je kuna nchi iliyoweka bendera yake juu ya milima tofauti na tanzania?

Okinawa
Marekani imeweka bendera kwenye mwezi, hiki ndo kitu nadra ambacho biblia ingeandika. Au hata USSR ilivorusha satellite ya kwanza hii nayo ni issue ngumu. Badala yake kuweka bendera kwenye mlima au kumiliki mwenge ni kitu rahisi sana. Marekani iliposhinda mapigano kwenye vita kadhaa ilikuwa inasimika bendera kwenye vilima mfano Hamburger hill, hata kule Japan nimesahau kisiwa gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sina wasiwasi na hilo hata hivyo roho yangu inaniambia ni misri maana hapa nashindwa tu kuweka ila tanzania nina wasiwasi nayo kwa kuwa kilimanjaro ni mlima mrefu sana ambapo ukiwa juu pale unaweza ona mbara yote ya ulimwengu kama dunia ingekuwa kama meza kwa kimo chake. kwa maana tunaweza fanya kitu bila kujua maaana yake nini wakati mwingine katika maisha.
Piga hesabu kama mlima kilimanjaro angekua nao kiduku N.KOREA na anawaona usa nk.ingekua vipi beberu usa ata haja kubwa asingepata maana kiduku angekua anatestia mitambo kule juu ya mlima.nawaza tu
 
marekani walitudanganya kwamba wameenda mwezini swali kama kweli wameenda kwa nini iwe ni mara moja tu na wasirudi tena? pili kule mwezini ni empty space ambapo hamna hewa lakini bendera ya marekani inapepea kuonyesha kuna upepo. Ile ni igizo la kisasa
EMPTY SPACE?
 
ni
Mwaka 1953 mwezi May,Sir Edmund Hillary na mwenzake Enzing Norgay waliweka bendera juu ya kilele cha mlima Everest nchini Nepal.

View attachment 1304176

Vijana wa Marines wakiweka bendera juu ya kilele cha mlima Suribachi.
mekupata mkuu record hizi zina maana zake hata ukitembea usiku na mchana ni tukio mimi kilichonishtua ni biblia imetaja suala hilo la bendera kuwekwa juu ya mlima
 
Naomba utusaidie inasemaje maana biblia nimeiacha nyumbani

Isaya 18
1 Ole wa nchi ya uvumi wa mabawa, Iliyoko mbali kupita mito ya Kushi;

2 Ipelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika vyombo vya manyasi juu ya maji.

3 Enyi watu mkaao katika ulimwengu wote, na wenyeji wa dunia, bendera ikiinuliwa milimani, angalieni; na wakipiga tarumbeta, sikieni.

4 Maana Bwana ameniambia hivi, Mimi nitatulia, na kuangalia katika makazi yangu, kama wakati wa mwangaza mweupe wa jua kali, mfano wa wingu la umande katika hari ya mavuno.

5 Maana kabla ya mavuno, maua yaangukapo, na maua yakawa zabibu zianzazo kuiva, ndipo atakapoyakata matawi kwa miundu, na kuviondoa vitawi vilivyopanuka na kuvikata.

6 Wote pamoja wataachiwa ndege wakali wa milimani, na hayawani wa nchi; ndege wakali watakaa juu yao wakati wa jua, na hayawani wote wa nchi watakaa juu yao wakati wa baridi.

7 Wakati huo Bwana wa majeshi ataletewa hedaya na watu warefu, laini; Watu watishao tangu mwanzo wao hata sasa; Taifa la wenye nguvu, wakanyagao watu, Ambao mito inakata nchi yao;
 
Isaya 18
1 Ole wa nchi ya uvumi wa mabawa, Iliyoko mbali kupita mito ya Kushi;

2 Ipelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika vyombo vya manyasi juu ya maji.

3 Enyi watu mkaao katika ulimwengu wote, na wenyeji wa dunia, bendera ikiinuliwa milimani, angalieni; na wakipiga tarumbeta, sikieni.

4 Maana Bwana ameniambia hivi, Mimi nitatulia, na kuangalia katika makazi yangu, kama wakati wa mwangaza mweupe wa jua kali, mfano wa wingu la umande katika hari ya mavuno.

5 Maana kabla ya mavuno, maua yaangukapo, na maua yakawa zabibu zianzazo kuiva, ndipo atakapoyakata matawi kwa miundu, na kuviondoa vitawi vilivyopanuka na kuvikata.

6 Wote pamoja wataachiwa ndege wakali wa milimani, na hayawani wa nchi; ndege wakali watakaa juu yao wakati wa jua, na hayawani wote wa nchi watakaa juu yao wakati wa baridi.

7 Wakati huo Bwana wa majeshi ataletewa hedaya na watu warefu, laini; Watu watishao tangu mwanzo wao hata sasa; Taifa la wenye nguvu, wakanyagao watu, Ambao mito inakata nchi yao;
Unabii hu sio kwaajili ya nchi yangu Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
marekani walitudanganya kwamba wameenda mwezini swali kama kweli wameenda kwa nini iwe ni mara moja tu na wasirudi tena? pili kule mwezini ni empty space ambapo hamna hewa lakini bendera ya marekani inapepea kuonyesha kuna upepo. Ile ni igizo la kisasa
kabla ya kuongea uwe unajifanyia itafiti mzee......

But this first was not the last for NASA. The United States would go on to complete six crewed missions to the moon that landed a total of 12 astronauts (all men) from 1969 to 1972 in a series of Apollo missions numbering up to Apollo 17
 
Watu wameweka mwezini,itakua mlimani?
Mkuu ulishabadili msimo wako, kwamba hakuna aliye wai kwenda kwenye mwezi?.[emoji23] [emoji23]

niliwai kutana na komenti yako katika nyuzi kadhaa uko nyuma ukipinga kuwai kufanyika mishen ya namna hiyo zaid ya MUMBO JUMBO tu za wa marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
marekani walitudanganya kwamba wameenda mwezini swali kama kweli wameenda kwa nini iwe ni mara moja tu na wasirudi tena? pili kule mwezini ni empty space ambapo hamna hewa lakini bendera ya marekani inapepea kuonyesha kuna upepo. Ile ni igizo la kisasa
hayo mambo ya empty space bila wao usingelyajua.
na zaidi kwani kuna ulazima gani wa wao kurudi uko?.
kwa hiyo nikisema niliwai kwenda New York, uthibitisho wa kuthibitisha ilo hadi nirudi kwa Mara nyingine tena NEW YORK ndo ukubali?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isaya 18
1 Ole wa nchi ya uvumi wa mabawa, Iliyoko mbali kupita mito ya Kushi;

2 Ipelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika vyombo vya manyasi juu ya maji.

3 Enyi watu mkaao katika ulimwengu wote, na wenyeji wa dunia, bendera ikiinuliwa milimani, angalieni; na wakipiga tarumbeta, sikieni.

4 Maana Bwana ameniambia hivi, Mimi nitatulia, na kuangalia katika makazi yangu, kama wakati wa mwangaza mweupe wa jua kali, mfano wa wingu la umande katika hari ya mavuno.

5 Maana kabla ya mavuno, maua yaangukapo, na maua yakawa zabibu zianzazo kuiva, ndipo atakapoyakata matawi kwa miundu, na kuviondoa vitawi vilivyopanuka na kuvikata.

6 Wote pamoja wataachiwa ndege wakali wa milimani, na hayawani wa nchi; ndege wakali watakaa juu yao wakati wa jua, na hayawani wote wa nchi watakaa juu yao wakati wa baridi.

7 Wakati huo Bwana wa majeshi ataletewa hedaya na watu warefu, laini; Watu watishao tangu mwanzo wao hata sasa; Taifa la wenye nguvu, wakanyagao watu, Ambao mito inakata nchi yao;
mku nakushukuru sana mana sikuweza kutupia quote hiyo kwa sababu ya kifaa ninayotumia
 
kabla ya kuongea uwe unajifanyia itafiti mzee......

But this first was not the last for NASA. The United States would go on to complete six crewed missions to the moon that landed a total of 12 astronauts (all men) from 1969 to 1972 in a series of Apollo missions numbering up to Apollo 17
ilyofika mwezini ni moja tu kwa mujibu wa maelezo yao hayo apolo mpaka seventeen ni majaribio tu
 
hayo mambo ya empty space bila wao usingelyajua.
na zaidi kwani kuna ulazima gani wa wao kurudi uko?.
kwa hiyo nikisema niliwai kwenda New York, uthibitisho wa kuthibitisha ilo hadi nirudi kwa Mara nyingine tena NEW YORK ndo ukubali?.

Sent using Jamii Forums mobile app
hoja ni kwamba walidanganya sio kweli kwamba walienda ila majaribio walifanya nyingi sana picha zao ndo zinaleta shida kesho nitakuja na ushahidi wa hili
 
hoja ni kwamba walidanganya sio kweli kwamba walienda ila majaribio walifanya nyingi sana picha zao ndo zinaleta shida kesho nitakuja na ushahidi wa hili
jiongezee maarifa mkuu ubishi sio mzuri
 
Apollo 15: David Scott and James Irvin
7022567_large-770x1783.jpg

This photograph was taken during the Apollo 15 mission on the lunar surface. Astronaut David R. Scott waits in the Lunar Roving Vehicle (LRV) for astronaut James Irwin for the return trip to the Lunar Module, Falcon, with rocks and soil collected near the Hadley-Apernine landing site. (Image: NASA)
The fourth manned moon mission was realised by Apollo 15 when it landed on the lunar surface on July 30, 1971, with Commander David Scott and pilot James Irvin in the Mare Imbrium area, close to the Montes Apenninus.

In this mission, a lunar rover was used for the first time, allowing astronauts to explore a much larger area of the moon. They stayed on the surface for 66 hours and 55 minutes and took samples, photographs and conducted experiments before taking off and docking with the orbiting module piloted by Alfred Worden.
 
Apollo 14: Aland Shepard and Edgar Mitchell
AS14-64-9089_large-770x1920.jpg

Astronaut Edgar D. Mitchell, lunar module pilot, moves across the lunar surface as he looks over a traverse map during an extravehicular activity (EVA). Lunar dust can be seen clinging to the boots and legs of the space suit. (Image: NASA)
Crewed by Commander Aland Shepard and pilot Edgar Mitchell, Apollo 14 conducted the third manned moon landing on February 5, 1971. They landed 21 km north of the Fra Mauro crater, spent 33 hours and 31 minutes on the lunar surface to collect samples, take photographs and conduct experiments.

Shepard also struck two golf balls before taking off the surface to dock with the orbiting command module piloted by Stuart Roosa.
 
hoja ni kwamba walidanganya sio kweli kwamba walienda ila majaribio walifanya nyingi sana picha zao ndo zinaleta shida kesho nitakuja na ushahidi wa hili
unadhani kwanini walidanganya?.
na
wanapata faida kwa huo uwongo wao?.

Lakini hadi sasa msimamo wako ni upi juu ya safari ya kwenda mwezini, haiwezekani ama inawezekana?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom