and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Ikitokea dharura watatua Unguja, Bwejuu.Ni moja mkuu, sijui kwa nini hawakuongeza njia nyingine kama backup ikitokea dharura kwenye main primary runway...
View attachment 2428916
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea dharura watatua Unguja, Bwejuu.Ni moja mkuu, sijui kwa nini hawakuongeza njia nyingine kama backup ikitokea dharura kwenye main primary runway...
View attachment 2428916
😕Ilitakiwa ziendelee kutua sio
Unafikiri ni Ngorika express hiyo au Manjinjah bus service
Kigogo na vigogo wanalamba asali,Enzi za Magu ungekuta bango tayari kwa kigogo na nchi tayari ipo kwenye taharuki...aya mambo yanajilipa yenyewe yenyewe tu.
Utasikia marehemu sijui kanyofoa runway.Hayo mashimo kwenye runway ndiyo tukio la siku moja, kwani hakuna maintenance schedule?
Mbona hatujawahi sikia hii kitu?
Itakuwa ajabu kuwa rais afuatilie mpaka maintenance schedule ya runways.Utasikia marehemu sijui kanyofoa runway.
Tuseme ukweli kiongozi wetu mvivu wa ufuatiliaji, nchi ilivyooza mtu wa juu lazima awe chuma kweli kweli...