Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Clomiphene (Clomid)zina side effects.Unaweza pata ovarian cyst,cancer ya ovaries. Figo ikahenyeshwa. Unajua hizi dawa zinablock Estrogen receptors kwenye hypothalamus. Hivyo FSH na LH zinakuwa kwa wingi ndo maana kunakuwa na stimulation ya ovulation isiyo ya kawaida. Nashauri usitumie hizi dawa bila kupimwa hormones zako pia bila kupimwa reserve ya ovaries. Hii dawa ni kwa wale ambao wanashindwa kuovulate kikawaida ndo maana wanaboostiwa. Sasa wewe ovaries zako,hormone zipo normal unataka boosting ya nini ?Je, hizo dawa hazina side effects kwa mtumiaji kwa wakati huo kwa baadae ?