Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Kuanza penzi ni raha, kwisha kwa penzi nako raha?
Wengi watasema ni machungu, kilio na simanzi
hasa kwa yule ambaye bado anapenda.
Wengi hutamani penzi liwe la milele.....
wengi hutamani kama ni ndoto basi wasiamke ili iendelee.
Wengine huona kama penzi lao ni njama kutoka juu!
Wengine , wenye kupenda kuangalia mambo kwa jicho la tatu watakuambia
Penzi lenye mwanzo, halina budi kuisha!
Kwanini basi wengi hufikiria kuwa penzi lao litakuwa la milele?
Je, ni vibaya uwapo mapenzini kuwazia kuwa kila chenye mwanzo hakikosi mwisho ?
Je ni vibaya kujiandaa kwa mwisho wa penzi?
Hebu tupe uzoefu wako ewe mwenzetu.
Wengi watasema ni machungu, kilio na simanzi
hasa kwa yule ambaye bado anapenda.
Wengi hutamani penzi liwe la milele.....
wengi hutamani kama ni ndoto basi wasiamke ili iendelee.
Wengine huona kama penzi lao ni njama kutoka juu!
Wengine , wenye kupenda kuangalia mambo kwa jicho la tatu watakuambia
Penzi lenye mwanzo, halina budi kuisha!
Kwanini basi wengi hufikiria kuwa penzi lao litakuwa la milele?
Je, ni vibaya uwapo mapenzini kuwazia kuwa kila chenye mwanzo hakikosi mwisho ?
Je ni vibaya kujiandaa kwa mwisho wa penzi?
Hebu tupe uzoefu wako ewe mwenzetu.