wakuu naombeni msaada,kama kichwa cha habari kinavyojieleza..kuna jamaa angu kakosa chuo je anaeza kuapply tena?nimeingia kwny site ya tcu nimeona slot ya registration ipo on...je afanye nin huyu ndugu yangu?:target:
Walitoaga majina ya waliokosa 1st round wakaambiwa waaply second round na 3rd round kwa watu wa dip. Alikuwa wap cku izo zote.. Aende tcu kwa maelezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.