Je, kuna shule yoyote ya Msingi au Sekondari inayofundisha kwa mfumo wa "Project Based Learning" nchini Tanzania?

Je, kuna shule yoyote ya Msingi au Sekondari inayofundisha kwa mfumo wa "Project Based Learning" nchini Tanzania?

mzeemzima

Senior Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
123
Reaction score
78
Salaam wadau,

Nimekuwa navutiwa sana na utoaji wa elimu kwa njia ya project-based learning, kwa jinsi inavyoweza kuwajenga watoto kuwa na uelewa wa hali juu ma vitu wanavyojifunza na mazingira yao.

Mfano kama hawa 3rd graders Marekani.
STEAM + Project-Based Learning: Real Solutions From Driving Questions



Na hawa mabinti wa kenya miaka 11 na 12 wanaofundishwa nyumbani na mama yao ( home schooling)


Naomba kujua, je kuna shule yoyote Dar es salaam au Tanzania kwa ujumla inayofundisha kwa aina hii kwa wanafunzi wa primary na sekondari.

Natanguliza shukrani.
 
Angalia shule za kimataifa, hasa zile zinazotumia mitaala ya kimataifa.
 
Salaam wadau,

Nimekuwa navutiwa sana na utoaji wa elimu kwa njia ya project-based learning, kwa jinsi inavyoweza kuwajenga watoto kuwa na uelewa wa hali juu ma vitu wanavyojifunza na mazingira yao.

Mfano kama hawa 3rd graders Marekani.
STEAM + Project-Based Learning: Real Solutions From Driving Questions



Na hawa mabinti wa kenya miaka 11 na 12 wanaofundishwa nyumbani na mama yao ( home schooling)


Naomba kujua, je kuna shule yoyote Dar es salaam au Tanzania kwa ujumla inayofundisha kwa aina hii kwa wanafunzi wa primary na sekondari.

Natanguliza shukrani.


Wadau,

Bado naendelea kutafuta shule za namna hii, kama kuna mtu yeyoye anaweza akawa anajua shule za namna hii tafadhali , naomba nijulishe.

Asante sana
 
Andaa utaratibu wa kumuongoza mwenyewe hapo nyumbani, katika shughuli zenye kumfikirisha zaidi. Mara moja moja, ukiwasiliana na "on-call tireless tutors", tunatoa huduma hizo, 0756325414, tupo Dar es salaam.
 
Salaam wadau,

Nimekuwa navutiwa sana na utoaji wa elimu kwa njia ya project-based learning, kwa jinsi inavyoweza kuwajenga watoto kuwa na uelewa wa hali juu ma vitu wanavyojifunza na mazingira yao.

Mfano kama hawa 3rd graders Marekani.
STEAM + Project-Based Learning: Real Solutions From Driving Questions



Na hawa mabinti wa kenya miaka 11 na 12 wanaofundishwa nyumbani na mama yao ( home schooling)


Naomba kujua, je kuna shule yoyote Dar es salaam au Tanzania kwa ujumla inayofundisha kwa aina hii kwa wanafunzi wa primary na sekondari.

Natanguliza shukrani.



Wakuu,

Naomba kujua kama kuna mtu ambaye anajua options zingine zaidi ya hizi ambazo zimekuwa shared hapo juu. Naomba share shule yoyote unayoijua inayotumia project based learning or hands on activities iwe ni ya NECTA, Cambridge au curricullum yoyote nyingine.

Asante
 
Back
Top Bottom