#COVID19 Je, kuna tofauti gani kati ya nchi zilizochanja raia wake na zile ambazo hazichanji raia wake chanjo ya covid-19?

Kama chanjo zingine mfano za TB,ndio,yellow fever,n.k tunazikubali basi hata hii ya covid 19 tuikubali pia,vinginevyo huu utakuwa ni uoga wa sindano.
 
Kama chanjo zingine mfano za TB,ndio,yellow fever,n.k tunazikubali basi hata hii ya covid 19 tuikubali pia,vinginevyo huu utakuwa ni uoga wa sindano.
Mimi nashauri frontliners wa kuitaka chanjo waanze wao na familizia zao, baada ya hapo wananchi wengine watakuwa wamehamsika kuipokea hiyo chanjo.
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…